Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8704 results for Mwandishi :

  1. Ngorongoro Heroes yapangwa na wenyeji AFCON U20

    Timu ya taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 20 ‘Ngorongoro Heroes’ imepangwa kundi A katika fainali za Mataifa ya Afrika kwa vijana wa umri huo (AFCON U20) 2025 zitakazofanyika Misri baadaye...

  2. Cannavaro afutwa kazi Croatia

    NAHODHA wa zamani wa Italia na mshindi wa Kombe la Dunia, Fabio Cannavaro amefutwa kazi katika klabu ya Dinamo Zagreb ikiwa ni miezi mitatu tu tangu aajiriwe, taarifa ya mabingwa hao wa Croatia...

  3. Real Madrid kwa Ancelotti ni suala la muda

    TAARIFA kutoka tovuti ya Relevo zinadai mabosi wa Real Madrid tayari wameshafanya maamuzi ya kumwondoa Kocha Carlo Ancelotti msimu ujao na tayari wameshampata mrithi wake.

    ANCELOTTI Pict
  4. Kikao kizito... Rashford, Amorim kuyamaliza kikubwa

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim atafanya mazungumzo na mshambuliaji wa timu hiyo, Marcus Rashford mwisho wa msimu kujua hatma yake ikiwa atarudishwa kikosini au ataondoka jumla.

  5. Vini Jr atuliza presha Real Madrid

    SUPASTAA wa Kibrazili, Vinicius Junior amesema anataka kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Real Madrid.

    Vini Pict
  6. Amorim ataka muda zaidi Man United

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesisitiza yeye bado ni mtu sahihi kuiongoza timu hiyo kwa muda mrefu licha ya kukumbana na rekodi zote mbovu za matokeo katika historia ya klabu hiyo.

    Amorim Pict
  7. Ancelotti atoa msimamo Real Madrid

    KOCHA wa Real Madrid, Carlo Ancelotti amesema kuwa hana uhakika juu ya hatma yake na kusisitiza kwamba ataondoka ikiwa mkataba wake utavunjwa.

    ANCELOTTI Pict
  8. Guadiola anawaza Top Four tu basi

    PEP Guardiola amekiri kushindwa kuwapo kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao litakuwa ni tatizo, lakini hiyo haina maana kwamba ni mwisho wa makali ya Manchester City.

  9. Arteta namba zinatosha

    MIKEL Arteta ametimiza mechi 200 za Ligi Kuu England tangu alipochukua mikoba ya kuinoa Arsenal mwaka 2019 – lakini rekodi zake zinachuana vipi na makocha wanaotajwa kuwa manguli kwenye historia...

  10. Tuchel amkumbusha Kane yeye ni straika

    KOCHA wa England, Thomas Tuchel amesema anatarajia kumwona straika Harry Kane kucheza eneo la kushambulia na si kwenye safu ya kiungo kama ambavyo alikuwa akitumika huko nyuma kwenye baadhi ya...

Previous

Page 176 of 871

Next