PRIME Miloud ashindwa kujizuia kwa Pacome YANGA imefanya mauaji jijini Mbeya ilipoivuruga Tanzania Prisons kwa mabao 5-0, kisha fasta ikageuka na kurejea Dar es Salaam usiku wa jana ili kujiandaa na safari ya kwenda Zanzibar kuvaana na...
Ile pyee EPL... Moto huoo Man United na Arsenal IMERUDI tena. Ndicho unachoweza kusema baada ya ratiba mpya ya Ligi Kuu England msimu wa 2025-26 kutangazwa, huku Manchester United na Arsenal zikimenyana kwenye wikiendi ya kwanza kabisa ya...
Rayan Cherki afichua usajili wa Chelsea STAA mpya wa Manchester City, Rayan Cherki amefichua usajili mpya utakaofanywa Chelsea kwenye dirisha hili kwamba watatua Lyon kwenda kunasa huduma ya mchezaji mwenzake wa zamani, Malick Fofana.
Arteta apata pigo, kumpoteza kamanda KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta anaripotiwa kupata pigo baada ya kuripotiwa kwamba atampoteza mtu muhimu kwenye benchi lake la ufundi katika dirisha hili la majira ya kiangazi.
Bosi kubwa Man United afunguka MKURUGENZI Mtendaji Mkuu wa Manchester United, Omar Berrada amefunguka huku akisisitiza miamba hiyo ya Old Trafford itarejea kwenye kilele cha Ligi Kuu England kufikia 2028.
PRIME Aziz KI achekelea dabi, ataja bingwa Bara MWAMBA wa Burkina Faso, Stephanie Aziz KI tayari ameshaanza kukipiga katika chama lake jipya la Wydad Casablanca alikotua hivi karibuni akitokea Yanga, lakini huku nyuma kaacha kumbukumbu kibao...
Napoli yaendelea kukomaa na saini ya Jadon Sancho MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.
Nunez atoke, aje Alvarez Anfield STAA wa zamani wa Liverpool, Mjerumani Dietmar Hamann amesema italeta maana kama miamba hiyo ya Anfield itaachana na Darwin Nunez ili kumchukua staa wa Atletico Madrid, Julian Alvarez.
He! Yamal amponza mrembo Hispania MREMBO mwenye ushawishi mkubwa mitandaoni, Fati Vazquez amefichua kutumiwa meseji za vitisho baada ya kuibuka uvumi kuwa kwenye uhusiano na kinda wa Barcelona, Lamine Yamal kufuatia picha...
Ushindi waipa Mamelodi zawadi ya bingwa wa CAF USHINDI wa bao 1-0 ilioupata Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini dhidi ya Ulsan HD ya Korea Kusini katika michuano ya Kombe la Dunia la Klabu 2025 inayofanyika Marekani, imeipa klabu hiyo Sh...