Huyu ndo Artan aliyeondolewa Kombe la Dunia KWA mujibu wa taarifa kutoka Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), imesema kuwa mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan ameondolewa kuchezesha Fainali za Kombe la Dunia 2026 na shirikisho...
Savinho anavyopitia misuli ya Spurs, Man United WINGA wa Brazil na Tottenham Hotspur, Savio Moreira de Oliveira maarufu Savinho, mwenye umri wa miaka 22 anadaiwa kuwa katika hatua za lalasalama za kupitia ofa kutoka Manchester United na...
Curacao taifa dogo, kocha mzee Kombe la Dunia 2026 CURACAO ni hadithi ya kishujaa kwenye Kombe la Dunia. Nchi ndogo ya kisiwa cha Karibiani, yenye idadi ya watu takriban 158,000 tu lakini maisha ya usiku yanayoshindana na London au New York, ipo...
Giza ishu ya Christian Eriksen kustaafu KIUNGO nyota wa Denmark, Christian Eriksen, amesema hana mpango wa kustaafu soka kwa sasa licha ya kuanguka tena uwanjani katika tukio lililozua hofu kwa mashabiki na wadau wa mchezo huo duniani.
Michael Olise apiga ‘hat trick’ ya maana KIUNGO mshambuliaji wa Ufaransa Michael Olise ameendelea kuonyesha kiwango chake bora kuelekea Kombe la Dunia baada ya kufunga mabao matatu (hat-trick) na kuiongoza Ufaransa kuibuka na ushindi wa...
Vita ya mfungaji bora Kombe la Dunia 2026 OMBE la Dunia 2026 linatarajiwa kuwa moja ya mashindano makubwa na ya kihistoria zaidi katika historia ya soka duniani, kutokana na mabadiliko makubwa ya mfumo wa mashindano ambapo kwa mara ya...
Refa Msomali aondolewa Kombe la Dunia kisa Marekani Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), limesema kuwa Mwamuzi wa Somalia, Omar Abdulkadir Artan ameondolewa kuchezesha Fainali za kombe la Dunia 2026.
Maignan, AC Milan ngoma ngumu, Chelsea ikitajwa kumvizia KIPA wa kimataifa wa Ufaransa na AC Milan, Mike Maignan, inadaiwa kuwasilisha ombi la kuondoka kikosini kutokana na mwisho mbaya wa msimu wa timu yake kulikoenda sambamba na kufutwa kazi kwa...
Wesley aumia, Ederson kuchukua nafasi Brazil TIMU ya taifa ya Brazil imepata pigo kubwa wakati fainali za Kombe la Dunia zikikaribia, baada ya beki wake wa kulia, Wesley kutangazwa kukosa mashindano hayo kutokana na majeraha ya misuli ya...
Mourinho arejea Real Madrid, Perez akimwaga Sh453 bilioni za usajili Jose Mourinho amerejea rasmi kuwa kocha mkuu wa Real Madrid baada ya Florentino Perez kushinda tena uchaguzi wa urais wa klabu hiyo.