Baresi aukataa unyonge Bara MASHUJAA jana jioni ilikuwa uwanjani mjini Kigoma kuvaana na Pamba Jiji, huku timu hiyo ikiwa na rekodi ya kucheza dakika 720 bila ushindi, lakini kocha Mohamed Abdallah 'Baresi' ametamba kwamba...
PRIME Prince Dube namba zinambeba PRINCE Dube ni jina linalotajwa zaidi kwa nyota wanaocheza eneo la ushambuliaji na utajwaji wake sio kwa uzuri liicha ya namba yake kumbeba.
PRIME KASONGO: Wachezaji, maofisa wanaobeti kazi wanayo! UNAKUMBUKA kauli iliyotolewa hivi karibuni na mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda kuwa kuna wachezaji wa timu ya Pamba Jiji wanaowachunguza kuhusika katika michezo ya kubashiri (betting) na...
PRIME CHILUNDA: Aliyening'oa Simba huyu hapa SHAABAN Idd Chilunda lilikuwa miongoni mwa majina yaliyoibuka kwenye usajili wa Simba msimu wa 2023 chini ya kocha Roberto Oliveira 'Robertinho', lakini hakuweza kudumu kikosini humo akiishi kwa...
PRIME Che Malone asaini kwa masharti Simba MABOSI wa Simba wamemaliza utata baada ya kudaiwa kumpa mkataba wa miaka miwili beki wa kati raia wa Cameroon, Che Fondoh Malone wenye masharti.
Ratiba za ndege zafuta mechi za usiku Jamhuri BILA shaka umewahi kushuhudia mechi za Ligi Kuu zinazopigwa usiku Uwanja wa Jamhuri, Dodoma zikisimamishwa kwa taa kuzimwa ikielezwa ni kupisha ndege zinazopaa na kushuka Uwanja wa Ndege wa...
Kocha wa maafande acharuka KOCHA wa maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amewaonya mastaa wa timu hiyo kuacha tabia ya kudharau wapinzani wao, kwa sababu kwa kufanya hivyo inawaweka katika mazingira magumu ya...
Ngumi taifa wanawake kambini MABONDIA 16 wa timu ya Taifa ya ngumi, wameingia kambini jana Jumapili tayari kwa maandalizi ya ushiriki wa mashindano ya Ubingwa wa Dunia kwa Wanawake yatakayofanyika katika Jiji la Nis, Serbia...
Fadlu awabakiza mastaa Simba Kambini KOCHA Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema licha ya wachezaji kuwa katika fomu nzuri ya ushindani, lakini amegoma kuwapa mapumziko wakati mchezo wao na Dodoma Jiji ukiwa umeahirishwa kwa kuhofia...
PRIME Mastaa watatu Singida BS wasajiliwa hivi, TFF yafunguka SIKU moja baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania masjala kuu ya Dodoma kuamuru kuitwa kortini wachezaji watatu wa Singida Black Stars, ili kujibu madai dhidi yao katika kesi ya kikatiba iliyofunguliwa...