Mechi Zanzibar Heroes, Uganda yafutwa Mechi ya kirafiki iliyopangwa kuchezwa Juni 11, 2026 baina ya Timu ya Taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar Heroes’ na Uganda, imeahirishwa.
Man City yakomaa na Anderson Manchester City imekataliwa ofa yao ya kwanza waliyopeleka kwa ajili ya kumsajili kiungo Elliot Anderson kutoka Nottingham Forest.
Taifa Stars yapata pigo Morocco Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imepata pigo baada ya kufutwa kwa ratiba ya michezo yake ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya Uganda na Rwanda kutokana na uwepo wa tishio la ugonjwa wa Ebola.
Moallin achekelea mabao ya Dube, Depu KUNA ukame uliowapitia washambuliaji wawili wa Yanga, Prince Dube na Laurindo Aurelio ‘Depu’ sasa jamaa wametupia huko timu za taifa na kumfanya kocha wao Abdihamid Moalin amechekelea akisema ni...
Fadlu apewa mkono wa kwaheri Raja Casablanca Raja Casablanca imetangaza kuachana rasmi na Kocha wa zamani wa Simba, Fadlu Davids usiku wa kuamkia leo, Juni 12, 2026.
FIFA yaondoa nyota jezi ya Misri Kombe la Dunia Kampuni ya Puma, inayotengeneza jezi za Misri, imelazimika kufanya marekebisho ya haraka ili kufikia masharti hayo kabla ya mchezo wa kwanza.
Arsenal kufungua dimba na Coventry City Premier League Ratiba ya Ligi Kuu England 2026/2027 imetolewa rasmi leo Ijumaa, Juni 19, 2026 ikitarajiwa kuanza Agosti 21, 2026 na kumalizika Mei 30 mwakani.
Uturuki waomba radhi kutolewa Kombe la Dunia Kiungo wa Uturuki, Arda Guler amewaomba radhi mashabiki wao kufuatia kuondolewa mapema kwa timu yao ya taifa katika Fainali za Kombe la Dunia zinazoendelea Mexico, Marekani na Canada.
Uholanzi yatinga 32 bora, Tunisia ikiaga kwa aibu Uholanzi imemaliza kibabe mechi za makundi ikipata ushindi mzuri wa mabao 3-1 dhidi ya Tunisia ambayo imeacha rekodi mbaya ikiaga fainali hizo za Kombe la Dunia 2026.
Barcelona ‘yajilipua’ kwa Harry Kane BARCELONA wamewasiliana na wawakilishi wa Harry Kane ili kuchunguza uwezekano wa kumsajili nahodha huyo wa England.