Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

172 results for Mwandishi Maalum :

  1. Dah! Mpole kasusa Geita au? ataja Morocco, Sauzi

    WAKATI Ligi Kuu Bara ikianza kutimua vumbi jana, kinara wa mabao msimu uliopita George Mpole anasema hajui hatma yake ya kucheza Tanzania msimu huu ingawa uongozi wa Geita unasisitiza kwamba ni...

  2. MTU WA MASHABIKI: Huyu Mkude anastahili kujengewa mnara

    MAPEMA wiki hii Simba ilikuwa bize ikihitimisha wiki yao iliyonogeshwa na tamasha bab’kubwa la Simba Day. Ni tamasha lililonoga na kuwapa mzuka mashabiki na wapenzi wa klabu hiyo kiasi cha...

  3. MZEE WA UPUPU: Badru anahukumiwa na kitu kimoja, kufanya kazi Azam

    KOCHA wa timu ya vijana chini ya miaka 17 ya Azam FC, Mohamed Badru, ameiongoza timu yake kushinda ubingwa wa ligi kuu kwa staili ya hali ya juu sana. Katika mechi 12 za msimu mzima, timu ya...

  4. Nabi ashusha sapraizi Yanga

    Nabi yuko kwao likizo, lakini ameliambia Mwanaspoti kwamba ana sapraizi mbili za kumalizia usajili kwenye benchi lake la ufundi. Anataka mtaalam wa kusoma video za wapinzani ambao ni wazi kwamba...

  5. MTU WA MPIRA: Kuna Manji halafu kuna GSM, mengine ni hadithi tu

    JUZI Jumamosi klabu ya Yanga imefanya uchaguzi wa viongozi wapya. Ndio uchaguzi wa kwanza baada ya kupita kwa katiba mpya inayohalalisha mfumo mpya wa mabadiliko. Nawatakia kheri viongozi wote...

  6. Mayele kutetema Zenji leo

    BAADA ya kutwaa mataji, kiungo fundi wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ amemvusha maji Fiston Mayele tayari kwaajili ya mchezo wa kirafiki wa kuchangia watoto wenye uhitaji kisiwani Unguja.

  7. Yanga yapewa vigogo nane

    KIKOSI cha Yanga jana kilitua Mbeya na kupokewa kifalme na mashabiki waliofurika kwenye uwanja wa ndege kuwalaki mabingwa hao watakaocheza kesho mechi yao ya kukabidhiwa ubingwa wa Ligi Kuu Bara,...

  8. MZEE WA UPUPU: Injinia Hersi Said alipoishi kiinjinia

    JUNI 11 ilikuwa siku ya kutangaza majina ya wagombea waliopita kwenye mchujo wa awali wa uchaguzi mkuu wa klabu ya Yanga. Muda mfupi kabla majina hayajatoka zikaanza kusambaa picha za mmoja wa...

  9. MTU WA MPIRA: Hili la Hersi kugombea Urais Yanga limekaaje?

    MCHAKATO wa uchaguzi umepamba moto pale Yanga. Umefunguliwa kwa haraka na zoezi la kuchukua na kurudisha fomu limekwisha. Ila jambo kubwa limenishtua katika mchakato wa awali. Ni kitendo cha...

  10. MZEE WA UPUPU: Maelekezo CAF na migogoro kwenye mpira wa Tanzania

    SHIRIKISHO la Soka barani Afrika, CAF, limetoa maelekezo kwa vyama wanachama wake ikiwemo Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kwamba mwisho wa kuwasilisha majina ya klabu na wachezaji wao kwa...

Previous

Page 13 of 18

Next