Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

141 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Fahamu majeraha aliyopata Feitoto

    LEO, Aprili 7 ni siku ya afya duniani. Siku hii ya kimataifa huadhimishwa kila mwaka. Mwaka huu ikiwa na kaulimbiu ya ìsayari yetu afya yetu.” Kwa upande wa kona yetu ya Spoti Dokta tutalipiga...

  2. SPOTI DOKTA: Joto hili Pwani tishio kwa wachezaji

    NI mchana uko katikati ya jiji la Dar es Salaam joto liko juu ukiwa katika msongamano pengine unatembea tu unajikuta ukitokwa jasho jingi na baadaye kukupa kiu kali ya maji. Kumbuka hapo...

  3. Kilichomkosesha Ronaldo derby ni hiki

    UAMUZI wa Kocha Ralf Rangnick kutomjumuisha Cristiano Ronaldo katika mchezo wa Manchester Derby uliochezwa Jumapili uliwastua wengi ikiwamo wachezaji na mashabiki wa klabu hiyo.

  4. Kumwadhibu zaidi Zouma ni mbaya kiafya

    WIKI iliyopita habari kubwa katika Ligi Kuu England (EPL), ilimhusu beki wa kati wa klabu ya West Ham, Kurt Zouma ambaye video iliyosambaa mitandaoni ilimwonyesha akimpiga teke paka wake na...

  5. SPOTI DOKTA: Tizi na misosi ndo mpango mzima kudhibiti ubonge

    HIVI karibuni tuliona straika wa Chelsea, Romelu Lukaku alivyokuwa bonge kiasi cha kukejeliwa, lakini akapambana na kufanikiwa kupata mwonekano mzuri tofauti na ule wa awali.

  6. Dk Cugat ndiye Messi wa tiba ya wanasoka duniani

    NYOTA wa PSG na timu ya taifa ya Argentina, Lionel Messi ni mmoja wa wachezaji bora kuwahi kutokea duniani akiwa na kipaji cha hali ya juu cha kucheza soka na hatimaye kuweza kuibuka Mwanasoka...

  7. Ligi za ulaya na mapumziko ya kijanja

    TUKIWA ndani ya wiki ya kwanza Januari 2022 tuliona ligi kubwa tano za Ulaya zikiendelea na utamaduni wa mapumziko ya kijanja ya kati ya Desemba na Januari. Ni kawaida kwa ligi kubwa za Ulaya...

  8. Sababu za Barbara kukasirika ni hizi

    JUMAMOSI iliyopita ilikuwa siku ya mechi ya watani katika Ligi Kuu Bara maarufu kama Kariakoo Derby iliyozikutanisha Simba na Yanga. Timu hizi zilitoka suluhu hali inayofanya mtaani kuwe shwari.

  9. Jeraha alilopata Neymar hili hapa

    MSHAMBULIAJI wa PSG ya Ufaransa, Mbrazil Neymar alipata majeraha mabaya ya kifundo cha mguu Jumapili katika mchezo wa ligi dhidi ya Saint Etienne.

  10. SPOTI DOKTA: Sababu za Yacouba kuwa nje miezi mitano

    MSHAMBULIAJI wa Yanga, Yacouba Songne ambaye alirejea wiki iliyopita akitokea nchini Tunisia katika matibabu ya upasuaji wa goti lililojeruhiwa atakuwa nje ya uwanja kwa miezi mitano.

Previous

Page 13 of 15

Next