Maresca: Sijakimbia mashabiki KOCHA wa Chelsea, Enzo Maresca amesisitiza kuondoka kwake haraka mara tu filimbi ya mwisho ilipopigwa katika mchezo dhidi ya Fulham wikiendi iliyopita, ilikuwa ni kwa sababu ya kuwaachia...
Luis Enrique ashtukia janja ya Arsenal KOCHA wa Paris Saint Germain, Luis Enrique anaamini Arsenal itatumia mbinu za kupaki basi kama itatangulia kufunga bao la mapema.
Vyombo vya habari Ujerumani vyamchambua Kane VYOMBO vya habari za Ujerumani zimemgeukia straika wa Bayern Munich, Harry Kane licha ya kuwa na rekodi tamu ya kufunga kwenye Bundesliga.
Nchemba aiangukia Yanga kwa Kagoma Mdau wa michezo nchini aliye pia Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amefunguka kwa mara ya kwanza sakata la kiungo Yusuf Kagoma, anayedaiwa kusaini Yanga na baadae kujiunga na Simba.
Kagame Cup yaanza kinyonge Dar PAZIA la mashindano ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati (Kombe la Kagame) 2024 linafunguliwa leo ikiwa ni mara ya kwanza katika historia kwa mashindano hayo kufanyika Tanzania bila uwepo wa...
Rais Magufuli awapa mzuka Waandishi wa michezo Kauli ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ya kuruhusu kurejea kwa shughuli za michezo, Juni Mosi imewapa mzuka waandishi wa habari za michezo nchini.
Morrison, Kagere waanzia nje KAMA ilivyokuwa kwenye mchezo wa kwanza wa ugenini dhidi ya Plateau United, Kocha Mkuu wa Simba, Sven Vandenbroeck amewaanzisha benchi washambuliaji, Meddie Kagere na Bernard Morrison, huku beki...
Mathias Lule atua Mbeya City UONGOZI wa Klabu ya Mbeya City imemtangaza kocha Mathias Lule ambaye alikuwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Uganda 'The Cranes' kuwa kocha mkuu wa timu hiyo akichukuwa nafasi ya Amri Said...
Eymael: Nilipiga goti kupinga ubaguzi, sijaambiwa lolote Yanga Eymael amefutwa ukocha na Yanga baada ya sauti yake kusambaa akitoa matamshi ya kibaguzi