Arteta: Real Madrid wepesi tu KOCHA wa Arsenal Mikel Arteta amewatia moyo na kuwataka wachezaji wake kujiandaa vilivyo kuelekea mchezo wao ujao wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa dhidi ya Real Madri baada ya kufanikiwa...
Rooney: Tuanze upyaa LEJENDI wa Manchester United, Wayne Rooney, amedai kwamba timu hiyo inahitaji kufanya "mabadiliko makubwa" ili kupata mafanikio, akiamini kikosi cha sasa hakina kiwango cha kuwafikisha nchi ya...
PRIME Che Malone ashtua Simba SIMBA inashuka uwanjani leo kumalizana na Dodoma Jiji katika mchezo wa kiporo cha Ligi Kuu Bara, lakini ndani ya kambi ya Wekundu wa Msimbazi, kuna taarifa inayoshtua juu ya beki wa kati Che...
Singida BS yatangulia robo, yaing'oa KMC BAO la kujifunga la kipindi cha kwanza la beki wa KMC, Abdallah Said 'Lanso' limeiwezesha Singida Black Stars kuungana na JKT Tanzania na Mbeya City kuwa za kwanza kukata tiketi ya kucheza robo...
Ligi ya mabingwa Ulaya… Patachimbika BAADA ya jana kumalizika kwa hatua ya 16 ya Ligi ya Mabingwa, sasa ni rasmi kila timu imeshamtambua mpinzani wake kuelekea robo fainali ya michuano hii.
Ile penalti ya Atletico ni hivi MOJA kati ya matukio yaliyojiri katika usiku wa michuano ya Ligi ya Mabingwa juzi ilikuwa ni kukataliwa kwa penalti ya staa wa Atletico Madrid Julian Alvarez tukio ambalo lilishangaza watu wengi.
Trent ndo hivyo tena BEKI wa Liverpool, Trent Alexander-Arnod ana asilimia kubwa ya kuukosa mchezo wa fainali ya Carabao Cup dhidi ya Newcastle Jumapili ya wiki hii kutokana na majeraha aliyopata kwenye mchezo dhidi...
JKT Tanzania, Mbeya City zakata tiketi ya robo fainali Shirikisho MAAFANDE w JKT Tanzania ikiwa uwanja wa nyumbani wa Meja Jenerali Isamuhyo, imeinyoosha Mbeya Kwanza kwa mabao 3-0 na kukata tiketi ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho.
Leroy Sane katika anga za Arsenal ARSENAL imepanga kumsajili winga wa Bayern Munich na Ujerumani, Leroy Sane, katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi ambapo atakuwa mchezaji huru kwani mkataba wake utakuwa unamalizika.
Che Malone, Camara kuikosa Dodoma Jiji kesho Simba SC kesho Ijumaa itaingia uwanjani kukabiliana na Dodoma Jiji huku ikielezwa itaikosa huduma ya kipa wake namba moja, Moussa Camara na beki tegemeo, Che Fondoh Malone.