Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

952 results for Waandishi Wetu :

  1. Chombo cha kusimamia miundombinu ya michezo kuanzishwa

    Serikali imeanza mchakato wa kuanzisha chombo maalumu cha usimamizi wa miundombinu ya michezo katika kukabiliana na changamoto za uendeshaji wa miundombinu ya michezo nchini.

  2. Kompany alivyomaliza gundu la Harry Kane

    MAKOCHA kibao walijaribu. Na wote walishindwa. Lakini, Vincent Kompany alifanikiwa kufanya kitu kilichowashinda magwiji kama Mauricio Pochettino, Jose Mourinho, Antonio Conte na Gareth Southgate...

    KOMPANY Pict
  3. PRIME Shughuli imekuwa nzito Chamazi... Azam yarusha taulo

    MSIMU wa Ligi Kuu Bara ni kama umebakiza mechi zisizozidi tano kwa timu zote kuhitimishwa, lakini kuna harakati kibao zinazoendelea kwa kila timu kuweka hesabu zake sawa katika dakika hizi za...

    AZAM Pict
  4. PRIME Ni aibu! Madudu ya waamuzi yachefua wengi Ligi Kuu

    WAKATI Kamati ya Waamuzi ya Shirikisho la Soka nchini, ikisema imeanza uchunguzi kwa waamuzi waliochezesha mechi ya Simba na Mashujaa, iliyogeuka gumzo, wadau mbalimbali wa soka wakiwamo...

    AIBU Pict
  5. PRIME Sababu tatu zilizoiangusha Yanga CAS

    MABOSI wa Yanga inaelezwa jana waliitana na kujifungia ili kujadili hukumu ya kesi waliyoifungua Mahakama wa Kimataifa ya Usuluhishi ya Michezo (CAS), iliyotupiliwa mbali, huku zikitajwa sababu...

    SABABU Pict
  6. PRIME SIRI: Jeraha linalotesa mastaa msimu huu

    KATIKA mchezo wa soka, kuna majeraha ya aina tano yanayowatesa zaidi wachezaji ambayo ni kifundo cha mguu, goti, nyama za paja, bega na kuvunjika mfupa.

  7. Alexander-Arnold kubadili upepo Liverpool

    BEKI kisiki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold ambaye anadaiwa atajiunga na Real Madrid mwisho wa msimu huu, mkataba wake utakapomalizika, huenda mambo yakabadilika na akabaki kwa mujibu wa...

    TRENT Pict
  8. Kuhusu Cunha, Amorim kasema haweki neno

    KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amekataa kutoa maoni kuhusu tetesi zinazoihusisha timu hiyo na nyota wa Wolves, Matheus Cunha, anayedaiwa anaweza kusajiliwa dirisha lijalo.

  9. Kocha Liverpool akanusha ishu ya Nunez

    KOCHA wa Liverpool, Arne Slot amepuuza madai kwamba hajamchezesha Darwin Nunez katika mechi kadhaa kwa sababu ya kifungu kilichomo kwenye mkataba wake ambacho kinaitaka Liverpool kuilipa klabu...

    NUNEZ Pict
  10. PRIME Rekodi zinaisogeza  Simba fainali CAFCC

    SIMBA inahesabu saa tu kwa sasa kabla ya kushuka uwanjani kukabiliani na Stellenbosch ya Afrika Kusini katika mechi ya marudiano ya nusu fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika, huku rekodi...

    SIMBA Pict
Previous

Page 2 of 96

Next