Pamba Jiji yaita mashabiki, yasema haigomi kama Yanga UONGOZI wa Pamba Jiji imeipiga kijembe Yanga kiaina kwa kusema watacheza mechi mbili za mwisho za Ligi Kuu na wala hatagoma kama vinara hao na kuamua kuwaita mashabiki wa timu wajitokeze kwa...
Kagoma, Mwenda kumuenzi James Bwire KIUNGO wa Simba, Yusuf Kagoma na beki wa kulia wa Yanga, Israel Mwenda ni miongoni mwa wachezaji waliothibitisha kushiriki tamasha la Alliance Day litakalotumika kumuenzi aliyekuwa Mkurugenzi...
Pamba yaanza hesabu za msimu ujao LICHA ya kubakiwa na mechi mbili tu kabla ya kuhitimisha msimu wa Ligi Kuu Bara wa 2024/2025, Pamba Jiji tayari imeanza kupiga hesabu za msimu ujao ikiwemo mustakabali wa mdhamini mkuu na...
Simchimba: Nazitaka Simba, Yanga LIGI ya Championship msimu huu ilimalizika Mei 11, mwaka huu, kwa timu za Mtibwa Sugar (mabingwa) na Mbeya City kupanda moja kwa moja Ligi Kuu Bara, huku Stand United na Geita Gold zikisubiri...
PRIME Ateba, Mukwala waachiwa msala Morocco SIMBA imeanza mazoezi ikiwa katika mji wa Jadida uliopo ndani ya jiji la Casablanca, Morocco ikijiandaa na pambano la kwanza la fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya BRS Berkane...
Kipa Mtibwa awapiga mkwara Camara, Diarra SAA chache baada ya kuiwezesha Mtibwa Sugar kupanda daraja na kunyakua ubingwa wa Ligi ya Championship, kipa Costantine Malimi amesema kwa sasa ameiva na yuko tayari kwa mikikimikiki ya Ligi Kuu...
Stam azitamani pointi za Yanga KOCHA Msaidizi wa Fountain Gate, Amri Said ‘Stam’ amesema kikosi chao kimeanza kuonyesha matumaini na kutibu madhaifu yaliyokuwepo hivyo wako tayari kuzipambania alama tatu katika mchezo ujao wa...
Penalti ya Pamba Jiji yamshangaza Minziro KITENDO cha Pamba Jiji kupewa mkwaju wa penalti dakika ya 90+7 kisha kukosa ilipotoka sare ya 1-1 na Fountain Gate, kimemshangaza zaidi kocha wa timu hiyo, Fredy Felix ‘Minziro’.
Mzimbabwe alia na mambo manne Tabora United MAMBO bado hayajaeleweka kwa Kocha mpya wa Tabora United, Genesis Mang’ombe raia wa Zimbabwe baada ya kushindwa kupata ushindi tangu atue klabuni hapo akirithi nafasi ya Mkongomani, Anicet...
Minziro: Mechi na Fountain itatupa uelekeo BAADA ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Tabora United na kupaa hadi nafasi ya 11 kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Pamba Jiji, Fredy Felix ‘Minziro’ amesema mchezo ujao dhidi ya...