Video AMRI KIEMBA ATOA TAHADHARI MADHARA DABI YA KARIAKOO ISIPOCHEZWA, AISHUKIA BODI YA LIGI..... Jumanne, Juni 17, 2025
PRIME Dabi ya Juni... Yanga 5 Simba 2 LICHA ya kwamba keshokutwa kuna mechi za kukamilishia raundi ya 30 ya Ligi Kuu Bara ambako vinara Yanga wataivaa Dodoma Jiji na Simba itapepetana na Kagera Sugar, akili za mashabiki wengi wa soka...
PRIME Ripoti ya jeraha la Dube yashtua MASHABIKI wa soka kwa sasa wanahesabu siku kabla ya kushuhudia pambano la Dabi ya Kariakoo lililopangwa kupigwa Juni 25 baada ya kuahirishwa mara mbili Machi 8 na Juni 15, kuna taarifa ambayo...
MGUNDA: maisha ya DR Congo yalikuwa magumu, lakini nimejifunza INGAWA mshambuliaji Ismail Mgunda hakufanikiwa kucheza kama alivyotarajia katika timu ya AS Vita ya DRC Congo, lakini alidhamiria kukipiga nje ya mipaka ya Tanzania. Hapa anasimulia maisha...