Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Utamu wa EPL unaanza mapema

UTAMU Pict

Muktasari:

  • Msimu mpya wa ligi hiyo unatarajiwa kuanza rasmi Agosti 21, lakini baadhi ya timu zitakuwa zimecheza mechi kadhaa za majaribio kabla hata ya fainali ya Kombe la Dunia.

LONDON, ENGLAND: WAKATI Kombe la Dunia 2026, likielekea mwishoni sasa katika hatua ya nusu fainali, klabu nyingi za Ligi Kuu England tayari zimeanza maandalizi ya msimu mpya kupitia mazoezi na mechi za kirafiki.

Msimu mpya wa ligi hiyo unatarajiwa kuanza rasmi Agosti 21, lakini baadhi ya timu zitakuwa zimecheza mechi kadhaa za majaribio kabla hata ya fainali ya Kombe la Dunia.

Mechi hizo zitafanyika katika mabara mbalimbali, ikiwemo Asia, Marekani na Ulaya.

UTA 01

ARSENAL

Agosti 1: Girona vs Arsenal

Agosti 5: Arsenal vs Real Betis (Dublin)

Agosti 9: Arsenal vs Borussia Dortmund (Emirates)

Agosti 16: Ngao ya Jamii:– Arsenal vs Manchester City


MANCHESTER UNITED

Julai 18: Manchester United vs Wrexham

Julai 24: Manchester United vs Rosenborg

Agosti 1: Manchester United vs Atletico Madrid

Agosti 8: Manchester United vs Paris Saint-Germain

Agosti 12: Manchester United vs Leeds United

Agosti 15: Manchester United vs AC Milan


MANCHESTER CITY

Agosti 1: Manchester City vs Inter Milan

Agosti 5: Manchester City vs K-League All-Stars

Agosti 9: Manchester City vs Atletico Madrid

Agosti 16: Ngao ya Jamii – Manchester City vs Arsenal

UTA 02

LIVERPOOL

Julai 25: Liverpool vs Sunderland

Julai 29: Liverpool vs Wrexham

Agosti 2: Liverpool vs Leeds United

Agosti 9: Liverpool vs Monaco

Agosti 16: Liverpool vs Como


CHELSEA

Julai 28: Western Sydney Wanderers vs Chelsea

Agosti 1: Chelsea vs Tottenham

Agosti 5: Chelsea vs Juventus

Agosti 8: Chelsea vs AC Milan

Agosti 11: Johor Darul Ta'zim vs Chelsea


TOTTENHAM HOTSPUR

Julai 22: Tottenham vs MK Dons

Julai 26: Auckland FC vs Tottenham

Julai 29: Sydney FC vs Tottenham

Agosti 1: Tottenham vs Chelsea

Agosti 8: Tottenham vs Getafe

Agosti 15: Tottenham vs Hoffenheim

Agosti 16: Tottenham vs Hoffenheim

UTA 03

NEWCASTLE UNITED

Julai 18: Newcastle vs Darlington

Julai 25: Gateshead vs Newcastle

Julai 29: Bristol City vs Newcastle

Agosti 8: Valencia vs Newcastle

Agosti 12: Everton vs Newcastle

Agosti 15: Newcastle vs Bayer Leverkusen

Agosti 16: Newcastle vs Strasbourg


LEEDS UNITED

Julai 25: Leeds United vs Wrexham

Julai 30: Leeds United vs Sunderland

Agosti 2: Leeds United vs Liverpool

Agosti 8: Leeds United vs RB Leipzig

Agosti 12: Leeds United vs Manchester United


ASTON VILLA

Julai 21: Walsall vs Aston Villa

Julai 28: Aston Villa vs Real Sociedad

Agosti 1: Indonesia All-Stars vs Aston Villa

Agosti 4: BG Pathum United vs Aston Villa

Agosti 7: Aston Villa vs Bayern Munich

Agosti 15: Borussia Monchengladbach vs Aston Villa

UTA 04

EVERTON

Julai 18: Dundee vs Everton

Julai 25: Bolton vs Everton

Julai 28: Stoke City vs Everton

Agosti 1: Hamburg vs Everton

Agosti 8: Stuttgart vs Everton

Agosti 12: Everton vs Newcastle


BRIGHTON

Julai 25: Brighton vs Annecy

Agosti 1: Brighton vs Strasbourg

Agosti 8: Brighton vs Roma

Agosti 15: Brighton vs Bologna


BRENTFORD

Agosti 8: Rennes vs Brentford

Agosti 15: Brentford vs Eintracht Frankfurt

CRYSTAL PALACE

Julai 28: Crystal Palace vs Lens

Julai 28: Crystal Palace vs FC Famalicao

UTA 05

NOTTINGHAM FOREST

Julai 18: Notts County vs Nottingham Forest

Julai 22: Blackburn Rovers vs Nottingham Forest

Julai 26: Nottingham Forest vs Vitoria

Julai 31: Nottingham Forest vs Sporting

Agosti 12: Nottingham Forest vs Bayer Leverkusen

Agosti 16: Nottingham Forest vs Brest


SUNDERLAND

Julai 18: York City vs Sunderland

Julai 25: Sunderland vs Liverpool

Julai 30: Sunderland vs Leeds United

Agosti 2: Sunderland vs Wrexham

Agosti 8: Sunderland vs Lens (mechi mbili)

Agosti 15: Sunderland vs Rennes

UTA 06


IPSWICH TOWN

Julai 29: Ipswich vs Osasuna

Agosti 1: Oxford United vs Ipswich

Agosti 1: Wycombe vs Ipswich

Agosti 4: Ipswich vs Le Havre

Agosti 8: Ipswich vs Rayo Vallecano

Agosti 15: Union Berlin vs Ipswich


AFC BOURNEMOUTH

Julai 24: St. Pauli vs Bournemouth

Julai 30: Augsburg vs Bournemouth

Agosti 4: Bournemouth vs Genoa

Agosti 8: Real Betis vs Bournemouth


COVENTRY CITY

Julai 18: Northampton vs Coventry

Agosti 8: Coventry vs Espanyol


FULHAM

Bado haijatangaza ratiba ya mechi zake za maandalizi.


HULL CITY

Bado haijatangaza ratiba ya mechi zake za maandalizi.


Vigogo kadhaa wanatarajiwa kukutana katika mechi za kuvutia za maandalizi, zikiwemo Chelsea dhidi ya Tottenham, Manchester City dhidi ya Inter Milan, Arsenal dhidi ya Borussia Dortmund, Manchester United dhidi ya PSG, Liverpool dhidi ya Leeds United, pamoja na Aston Villa dhidi ya Bayern Munich, huku mashabiki wakisubiri kuona timu zao zikiwa tayari kwa msimu mpya wa 2026/27.