Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mastaa wenye takwimu za kibabe Ligi Kuu England

Muktasari:

  • Vita nyingine kubwa ukiachana hiyo ya kuwania taji ipo kwenye kusaka nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya, ambapo mchuano huo unazihusu timu za Manchester United, Aston Villa, Chelsea na Liverpool zikichuana vikali kuhakikisha zinamaliza ndani ya timu tano za juu ili kukamatia tiketi hiyo ya kucheza michuano hiyo ya Ulaya msimu ujao.

LONDON, ENGLAND: LIGI Kuu England imefikia patamu kwelikweli. Arsenal inapambana kulinda pengo lake la pointi saba kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo dhidi ya Manchester City kwenye nafasi ya pili. Lakini, kikosi hicho cha Pep Guardiola kina mchezo mmoja mkononi.

Vita nyingine kubwa ukiachana hiyo ya kuwania taji ipo kwenye kusaka nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya, ambapo mchuano huo unazihusu timu za Manchester United, Aston Villa, Chelsea na Liverpool zikichuana vikali kuhakikisha zinamaliza ndani ya timu tano za juu ili kukamatia tiketi hiyo ya kucheza michuano hiyo ya Ulaya msimu ujao.

Mkiani kwenye msimamo wa ligi hiyo, vita pia imechachamaa ya timu zinazojaribu kupambana kukwepa kushuka daraja, jambo linalofanya mechi zinazohusu timu za kwenye vita huyo kuwa kali uwanjani na msisimko mkubwa.

Ukiweka taarifa za kuhusu timu, kuna takwimu nyingine zinazohusu mchezaji mmoja mmoja kutokana na kile wanachofanya kwenye Ligi Kuu England, ambapo kila mchezaji akijaribu kuonyesha ubora wake katika eneo lake analocheza ili kuhakikisha anapata kitu cha kujivunia mwisho wa msimu huo. Kwenye hilo, kwa mujibu wa takwimu za FBRef na StatMuse, kuna mastaa wamefunika kwenye takwimu za mambo tofauti kwenye Ligi Kuu England, ikiwamo vinara wa mabao, vinara wa kupiga asisti na wakali waliopiga pasi nyingi kwa kutazama takwimu hizo kwa uchache. Kupata uhondo kamili wa nani ni nani kwenye Ligi Kuu England, Mwanaspoti linakupa mambo yote.

WANAOONGOZA KWA MABAO

Erling Haaland (Man City) – 22

Igor Thiago (Brentford) – 18

Antoine Semenyo (Bournemouth/Man City) – 15

Joao Pedro (Chelsea) – 14

Hugo Ekitike (Liverpool) – 11

Dominic Calvert-Lewin (Leeds) – 10

Viktor Gyokeres (Arsenal) – 10

Danny Welbeck (Brighton) – 10

Bryan Mbeumo (Man United) – 9

Harry Wilson (Fulham) – 9

Cole Palmer (Chelsea) – 9

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 9

 

WANAOONGOZA KWA ASISTI

Bruno Fernandes (Man United) – 14

Rayan Cherki (Man City) – 8

Erling Haaland (Man City) – 7

Jack Grealish (Everton) – 6

Mohamed Salah (Liverpool) – 6

Harry Wilson (Fulham) – 6


WANAOONGOZA KWA KADI ZA NJANO

Cristian Romero (Spurs) – 10

Yerson Mosquera (Wolves) – 10

Andre (Wolves) – 9

Dan Burn (Newcastle) – 9

Lewis Dunk (Brighton) – 9

Joao Gomes (Wolves) – 9


WANAOONGOZA KWA KADI NYEKUNDU

Cristian Romero (Spurs) – 2

Wachezaji 34 – 1


WALIOCHEZA DAKIKA NYINGI

David Raya (Arsenal) – 2,700

Nikola Milenkovic (Nottingham Forest) – 2,610

James Tarkowski (Everton) – 2,610

Virgil van Dijk (Liverpool) – 2,610

Seven goalkeepers – 2,520


WALIOONGOZA KWA KUPIGA MASHUTI

Erling Haaland (Man City) – 98

Matheus Cunha (Man United) – 68

Antoine Semenyo (Bournemouth/Man City) – 67

Thiago (Brentford) – 67

Morgan Rogers (Aston Villa) – 66

Jarrod Bowen (West Ham) – 65

Bruno Fernandes (Man United) – 64

Cody Gakpo (Liverpool) – 64

Hugo Ekitike (Liverpool) – 63

Morgan Gibbs-White (Nottingham Forest) – 63

 

WANAOONGOZA KWA KUPOTEZA NAFASI ZA KUFUNGA

Erling Haaland (Man City) – 24

Jean-Philippe Mateta (Crystal Palace) – 15

Igor Thiago (Brentford) – 14

Ollie Watkins (Aston Villa) – 13

Hugo Ekitike (Liverpool) – 11

Dominic Calvert-Lewin (Leeds) – 11

Harvey Barnes (Newcastle) – 10

Evanilson (Bournemouth) – 10

Benjamin Sesko (Man United) – 10

Kevin Schade (Brentford) – 10

Joao Pedro (Chelsea) – 10

 

WANAOONGOZA KWA KUPIGA PASI MUHIMU

Bruno Fernandes (Man United) – 76

Dominik Szoboszlai (Liverpool) – 50

Declan Rice (Arsenal) – 48

Bukayo Saka (Arsenal) – 47

Anton Stach (Leeds) – 45

Florian Wirtz (Liverpool) – 43

Enzo Fernandez (Chelsea) – 43

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 42

 

WANAOONGOZA KUPIGA PASI NYINGI SAHIHI

Virgil van Dijk (Liverpool) – 1,996

Lewis Dunk (Brighton) – 1,912

Trevoh Chalobah (Chelsea) – 1,909

Jan Paul van Hecke (Brighton) – 1,670

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 1,669

Ezri Konsa (Aston Villa) – 1,639

Joachim Andersen (Fulham) – 1,614

Ruben Dias (Man City) – 1,581

William Saliba (Arsenal) – 1,560

Declan Rice (Arsenal) – 1,543

 

WANAOONGOZA KWA KUGUSA MPIRA MARA NYINGI

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 2,654

Virgil van Dijk (Liverpool) – 2,592

Trevoh Chalobah (Chelsea) – 2,408

Lewis Dunk (Brighton) – 2,391

Jan Paul van Hecke (Brighton) – 2,285

Dominik Szoboszlai (Liverpool) – 2,262

Declan Rice (Arsenal) – 2,252

Joachim Andersen (Fulham) – 2,224


VINARA WA KUPIGA CHENGA

Jeremy Doku (Man City) – 58

Iliman Ndiaye (Everton) – 52

Mohammed Kudus (Spurs) – 51

Yankuba Minteh (Brighton) – 51

Jarrod Bowen (West Ham) – 44

Bukayo Saka (Arsenal) – 42

Michael Kayode (Brentford) – 38

Kevin (Fulham) – 36

Rayan Cherki (Man City) – 36


KUGUSA MARA NYINGI BOKSI LA WAPINZANI

Erling Haaland (Man City) – 163

Bukayo Saka (Arsenal) – 154

Mohamed Salah (Liverpool) – 151

Cody Gakpo (Liverpool) – 140

Yankuba Minteh (Brighton) – 139

Morgan Rogers (Aston Villa) – 137

Jarrod Bowen (West Ham) – 136

Ollie Watkins (Aston Villa) – 134


WANAOONGOZA KWA KUPIGA TACKLES

Joao Palhinha (Spurs) – 96

James Garner (Everton) – 89

Joao Gomes (Wolves) – 82

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 82

Tyrick Mitchell (Crystal Palace) – 81

Adrien Truffert (Bournemouth) – 79

Neco Williams (Nottingham Forest) – 75

Florentino Luis (Burnley) – 75


KUPIGA TACKLES WAKIWA WA MWISHO

Cristian Romero (Spurs) – 3

Micky van de Ven (Spurs) – 3

Malick Thiaw (Newcastle) – 3

Abdukodir Khusanov (Man City) – 3

Chris Richards (Crystal Palace) – 3

Ruben Dias (Man City) – 3

Marcos Senesi (Bournemouth) – 3

Wachezaji 16 – 2

 

KUNASA MIPIRA MARA NYINGI

Moises Caicedo (Chelsea) – 51

James Garner (Everton) – 44

Marcos Senesi (Bournemouth) – 39

Chris Richards (Crystal Palace) – 38

Aaron Wan-Bissaka (West Jam) – 38

Ethan Ampadu (Leeds) – 36

Adrien Truffert (Bournemouth) – 36

Maxence Lacroix (Crystal Palace) – 35

 

WANAOONGOZA KWA KUOKOA

Virgil van Dijk (Liverpool) – 243

Marcos Senesi (Bournemouth) – 230

James Tarkowski (Everton) – 222

Maxence Lacroix (Crystal Palace) – 207

Joachim Andersen (Fulham) – 204

Dan Ballard (Sunderland) – 190

Pascal Struijk (Leeds) – 186

Trevoh Chalobah (Chelsea) – 183

 

WAMECHEZEWA RAFU NYINGI

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 64

Jack Grealish (Everton) – 58

Bruno Guimaraes (Newcastle) – 52

Crysencio Summerville (West Ham) – 50

Gabriel Gudmondsson (Leeds) – 50

Bukayo Saka (Arsenal) – 49

Alex Scott (Bournemouth) – 48

Matheus Cunha (Man Utd) – 47


WAMECHEZA RAFU NYINGI

Joao Gomes (Wolves) – 55

Thiago (Brentford) – 54

Antoine Semenyo (Bournemouth/Man City) – 47

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 43

Jorgen Strand Larsen (Wolves/Crystal Palace) – 43

Raul Jimenez (Fulham) – 41

Moises Caicedo (Chelsea) – 39

Diego Gomez (Brighton) – 39

Sasa Lukic (Fulham) – 38

Jurrien Timber (Arsenal) – 38

 

WAMEOTEA MARA NYINGI

Evanilson (Bournemouth) – 23

Dominic Calvert-Lewin (Everton) – 21

Raul Jimenez (Fulham) – 19

Cody Gakpo (Liverpool) – 19

Thiago (Brentford) – 18

Antoine Semenyo (Bournemouth/Man City) – 18

Ollie Watkins (Aston Villa) – 17

Jarrod Bowen (West Ham) – 17

Jean-Philippe Mateta (Crystal Palace) – 15

Joao Pedro (Chelsea) – 14

 

WANAOONGOZA KURUDISHA MPIRA KWENYE UMILIKI

Elliot Anderson (Nottingham Forest) – 241

Joao Gomes (Wolves) – 154

Andre (Wolves) – 154

Declan Rice (Arsenal) – 148

Adrien Truffert (Bournemouth) – 148

James Garner (Everton) – 146

Yehor Yarmoliuk (Brentford) – 142


KUCHEZA MIPIRA MINGI YA JUU

Virgil van Dijk (Liverpool) – 134

James Tarkowski (Everton) – 119

Thierno Barry (Everton) – 102

Sepp van den Berg (Brentford) – 99

Daniel Ballard (Sunderland) – 98

Ibrahima Konate (Liverpool) – 91

Malick Thiaw (Newcastle) – 90

Dominic Calvert-Lewin (Leeds) – 84

Jake O’Brien (Everton) – 83


VINARA WA KUJIFUNGA

Maxime Esteve (Burnley) – 2

Yerson Mosquera (Wolves) – 2

Wachezaji 29 – 1


MAKOSA YALIYOSABABISHA MASHUTI

James Tarkowski (Everton) – 6

Pedro Porro (Spurs) – 4

Djed Spence (Spurs) – 4

Curtis Jones (Liverpool) – 4

Yasin Ayari (Brighton) – 4

Carlos Baleba (Brighton) – 4


MAKOSA YALIYORUHUSU MABAO

Emiliano Martinez (Aston Villa) – 3

Nick Pope (Newcastle) – 3

Wachezaji 17 – 2

 

WAMESABABISHA PENALTI

Ibrahim Sangare (Nottingham Forest) – 2

Max Kilman (West Ham) – 2

Caoimhin Kelleher (Brentford) – 2

Michael Kayode (Brentford) – 2

Yerson Mosquera (Wolves) – 2

Ryan Sessegnon (Fulham) – 2

Maxence Lacroix (Crystal Palace) – 2

 

MECHI NYINGI BILA KURUHUSU BAO

David Raya (Arsenal) – 14

Gianluigi Donnarumma (Man City) – 11

Dean Henderson (Crystal Palace) – 10

Jordan Pickford (Everton) – 10

Robert Sanchez (Chelsea) – 9

Robin Roefs (Sunderland) – 8

Alisson (Liverpool) – 8

Djordje Petrovic (Bournemouth) – 8


MAKIPA WANAOONGOZA KWA SEVU

Martin Dubravka (Burnley) – 106

Djordje Petrovic (Bournemouth) – 88

Dean Henderson (Crystal Palace) – 86

Robin Roefs (Sunderland) – 85

Bart Verbruggen (Brighton) – 80

Jordan Pickford (Everton) – 78

Alphonse Areola (West Ham) – 76

Guglielmo Vicario (Spurs) – 76

Caoimhin Kelleher (Brentford) – 74

 

MAKIPA WALIOOKOA PENALTI NYINGI

Caoimhin Kelleher (Brentford) – 3

Robin Roefs (Sunderland) – 1

Jordan Pickford (Everton) – 1

Giorgi Mamardashvili (Liverpool) – 1

Emi Martinez (Aston Villa) – 1

Bart Verbruggen (Brighton) – 1

Gianluigi Donnarumma (Man City) – 1

Dean Henderson (Crystal Palace) – 1

 

MAKIPA WAMERUHUSU MABAO MACHACHE

David Raya (Arsenal) – 22

Gianluigi Donnarumma (Man City) – 23

Emi Martinez (Aston Villa) – 25

Jose Sa (Wolves) – 28

Alisson (Liverpool) – 29

Senne Lammens (Man United) – 29

Lucas Perri (Leeds) – 29

Matz Sels (Nottingham Forest) – 31

Nick Pope (Newcastle) – 31

Robert Sanchez (Chelsea) – 32

 

MAKIPA WANAOONGOZA KWA ASILIMIA ZA SEVU

Emi Martinez (Aston Villa) – 73.2%

Dean Henderson (Crystal Palace) – 73%

Gianluigi Donnarumma (Man City) – 72.9%

Robin Roefs (Sunderland) – 72.2%

Bart Verbruggen (Brighton) – 71.6%

Jordan Pickford (Everton) – 71%

Alphonse Areola (West Ham) – 70.4%

Matz Sels (Nottingham Forest) – 70%

Robert Sanchez (Chelsea) – 69.6%

Nick Pope (Newcastle) – 69.1%