Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

VIDEO: Watoto Tanzania watinga nusu fainali Kombe la Dunia wakiibamiza Marekani mabao 5-0

Muktasari:

  •  Tanzania inakwenda nusu fainali ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja na ikiwa haijafungwa hata goli moja yani clean sheet katika mashindano haya yaliofanyika nchini Urusi mjini Moscow katika Uwanja wa klabu kubwa ya soko nchini Urusi ya Lokomotive Moscow

Timu ya Tanzania iliyopo katika mashindano ya Kombe la Dunia la Watoto  wa mazingira magumu yalioandaliwa na Shirika la Street Child United kwa programu ya Street Chil World Cup: Future Depends on You imeibuka na ushindi wa mabao 5-0 baada ya kuibamiza na kuisambaratisha bila ya huruma timu ya Marekani leo asubuhi katika mchezo wa kwanza wa robo fainali.

 Tanzania inakwenda nusu fainali ikiwa haijapoteza hata mchezo mmoja na ikiwa haijafungwa hata goli moja yani clean sheet katika mashindano haya yaliofanyika nchini Urusi mjini Moscow katika Uwanja wa klabu kubwa ya soko nchini Urusi ya Lokomotive Moscow.

Vijana hao wa Tanzania wanapambana kila namna ili wachukue tena ubingwa mwaka huu na kutetea taji lake kama ilivyokuwa mwaka 2014 walipokuwa mabingwa nchini Brazil.

 Tanzania imeweka heshima na historia kubwa katika kuelekea fainali za Kombe la dunia mwaka huu nchini Urusi.