Singida FG, Prison yaanza kwa sare Ligi Kuu

Muktasari:
- Tanzania Prisson nafasi ya tisa na pointi moja sawa na Singida nafasi ya 10 kwenye Ligi Kuu wakiwa wamecheza mechi moaja tu
Singida Fountain Gate FC imecheza mchezo wa kwanza Ligi Kuu msimu huu dhidi ya Tanzania Prison na mchezo kumalizika kwa sare ya bila kufungana 0-0 katika Uwanja wa Liti, Singida
Tanzania Prisson nafasi ya tisa na pointi moja sawa na Singida nafasi ya 10 kwenye Ligi Kuu wakiwa wamecheza mechi moaja tu
Sare ya Singida na Prison inakuwa ni ya pili katika mechiambapo jana mchezo kati ya Mashujaa na Geita Gold ulochezwa uwanja wa Lake Tanganyika, Kigoma ulimalizika kwa sare ya bila kufungana 0-0
Tanzania Prison itacheza mchezo wake wa pili dhidi ya Azam FC Agosti 28 Uwanaj wa Azam Complex, Chamazi huku Singida itachanga karata yake dhidi ya Kitayosce Agosti 31 Uwanja wa Liti, Singida