Jeshi jipya Ligi Kuu Bara ndo hili hapa

TAYARI dirisha la usajili la wachezaji lilifungwa tangu Jumanne na sasa kilichobaki ni kuona namna nyota hao watakayoyafanya kwenye ligi itakayoanza wikiendi hii.
Ndani ya Ligi Kuu pekee tumeshuhudia wachezaji wakigeni 50 wakisajiliwa huku Azam na Simba zikisajili nyota 10, Yanga ikiwa na yota nane, Namungo FC saba, Biashara sita, KMC watatu, Kagera Sugar wawili wakati Dodoma, Mtibwa Sugar, Gwambina na Mbeya City wakiwa na nyota mmoja.
Katika usajili mengi yametokea hasa sakata la Benard Morisson aliyekuwa akiitumikia Yanga msimu uliopita lakini katika orodha ya usajili inaonekana yupo ndani ya Simba.
Mwanaspoti kama kawaida linakudondoshea kwa karibu nyota waliotua ndani ya vikosi vyote 18 vya Ligi Kuu ambavyo vinaanza kulisaka kombe la msimu huu Jumapili.
- AZAM FC
Alain Akono
Prince Dube
Emmanuel Charles
Davi Kissu
Awesu Awesu
Ismail Aziz
Ayoub Lyanga
2. BIASHARA UNITED
Zziwa Joseph
Ssetuba James
3. COASTAL UNION
Coastal Unioni imeachana na jumla ya wachezaji 19 kati yao saba wamebaki kwenye timu za Ligi Kuu na wapya ni hawa.
Gadafi Ally
Adil Sultan
Yusuph Soka
Rashid Chambo
Abdul Suleiman
4. DODOMA JIJI FC
George Wawa
Salmini Hoza
Dickson Ambundo
Justine OmarI
Jukumu Kibanda
Cleophace Mkandara
Aron Kalambo
Peter Mapunda
Seif Karie
Michael Chinedu
5. IHEFU SC
Paul Luyungu
Jordan John
Omary Khamis
Wema Sadoki
Geoffrey Kivywanzi
Cyprian Kipenye
Omari Kindamba
Geofrey Rafael
Peter Ali
Kess evance
Omar Mponda
Emmauel Kichiba
Isihaka Joseph
Alex Venance
6. GWAMBINA FC
Mohamed Makaka
Stali Nyambe
Aron Lulambo
Lameck Daniel
Baraka Mtui “Popa”
Novartus Lufunga
Said Mkangu
Paul Nonga
Moric Mahela
Japhet Makalai
Miraji Saleh
7. JKT TANZANIA
Kelvin Sabato
Kelvin Nashon - U20
Joseph Ilunda - U20
Said Ulaya - U20
Hassan - U20
8. KAGERA SUGAR
Hassan Mwaterema
Mbaraka Yusuph
Ally Nassoro
Abdalah Mfuko
Sadat Mohamed
Ali Mton
Mohamed Ibrahim
Feisal Hilal
Dickson Mhilu
Said Kipao
9. KMC FC
Reliants Lusajo
Masoud Abdallah
Raheem Sheikh
Kenneth Masumbuko
David Brayson
Lusajo Mwaikenda
Israel Ptrick
Masoud Abdallah
Martin Kiggi
David Mwasa
Andrew Vicent
Masoud Abdallah
10. MWADUI FC
Rafael Daudi
Atanas Elias
Abeid Kisiga
Cosmas Lewis
Abbas Kapombe
Msenda Amir
Mpoki Mwansasu
Issa Yasin
Majid Kimbondile
11. MTIBWA SUGAR
George Makang’a
Baraka Majogoro
Abal Hamisi
Ramadhan Kessy
Ibrahim Ahmada
Juma Ganabali
Abubakar Omar
Jofrey Kiggi
12. MBEYA CITY
Geofrey Mwashiuya
Taro Joseph
George Sangija
Kibu Prosper
Samwel Mauru
Castor Mhagama
Babilas Chitembe
13. NAMUNGO FC
Sixtus Sabilo
Stephen Sey
Amani Kyata
Haruna Shamte
Iddi Kipagwile
Jafar Mohamed
Frank Magingi
Abdulhalim Humoud
Fredy Tangalo
Johnathan Nahimana
Shiza Kichuya
14. POLISI TANZANIA
Rashid Juma
Daruweshi Saliboko
Kassim Haruna
Datus Peter
Ramadhan Kapera
ussein BakarI
Rashid Juma
Tariq Seif
Faraji Mazoea
15. RUVU SHOOTING
Ponera Kassim
Issa Kajia
16. TANZANIA PRISONS
Steve Mwaijala
Gasper Mwaipasi
Kassim Mdoe
Andrew Ntala
17. SIMBA
Benard Morrison
Charles Ilanfya
Joash Onyango
Ame Ibrahim
Chris Mugalu
Larry Bwalya
David Kameta
18. YANGA
Tonombe Mukoko
Bakari Mwamnyeto
Waziri Junior
Yassin Mustapha
Farid Mussa
Kibwana Shomari
Abdallah Shaibu ‘Ninja’
Carlos Fernandez
Michael Sarpong
Tuisila Kisinda
Sogne Yacouba