Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

UCHAMBUZI: Thierry Henry katika shimo jingine la Diego Maradona

Aliwahi kujisemea mtu aliyeitwa Mae West, You only live once, and if you do right, once is enough. Nadhani alikuwa anamaanisha hivi kwa Kiswahili sahihi. Unaishi mara moja tu, na kama unafanya kila kitu kwa usahihi basi, mara moja inatosha’

Mae, mwanamitindo, muigizaji na mwanamuziki mahiri wa enzi zake ambaye alifia Hollywood mwaka 1980 huenda alikuwa sahihi sana. Wakati mwingine unageuza mtazamo na kuacha kuyatazama maisha kwa ujumla. Unaitazama tu kazi fulani kwa ujumla.

Unajikuta uliifanya kazi hiyo vyema. Ukaibeba vyema. Ikakupa umaarufu. Inatosha. Ukihamia kwingine unaharibu. Sio wote wanaoharibu. Lakini sio wote wanaofanikiwa. Wengi hufeli. Nahisi mmoja kati ya hao wengi ni Thierry Daniel Henry.

Fuatana na Edo Kumwembe kupata uchambuzi huu kwa kubonyeza:https://fupi.co.tz/jPbWh04