Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Mwigizaji Freddy afariki dunia akipatiwa matibabu Mloganzila

Muktasari:

  • Taarifa hiyo  imethibitishwa na mwigizaji mwenzie Blandina Changula 'Johari' wakati akizungumza na Mwanaspoti

Mwigizaji wa Bongo Movie Freddy Kiluswa amefariki dunia leo Novemba 16,2024 akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Mloganzila.

Taarifa hiyo  imethibitishwa na mwigizaji mwenzie Blandina Changula 'Johari' wakati akizungumza na Mwananchi

"Siwezi hata kuongea chochote, lakini taarifa za kifo ni kweli amefariki leo akiwa anapatiwa matibabu hospitali Mloganzila, "amesema Johari ambaye alikuwa mzalishaji wa tamthilia ya 'Lawama' ambayo Freddy amewahi kucheza