Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

214 results for OMARY MDOSE :

  1. PRIME Simba yavamia dili la Ecua Yanga

    HUENDA hii isiwe taarifa nzuri kwa mashabiki wa Yanga ambao walikuwa wakianza kuchekelea chinichini baada ya kuwahabarisha juu ya dili la straika wa ASEC Mimosas na MVP wa Ligi Kuu ya Ivmpanory...

    SIMBA Pict
  2. PRIME Simba, Yanga kazi ipo CAF

    KUMEKUCHA Afrika. Ndio, unaambiwa hadi kufikia Julai 31 mwaka huu, zitafahamika timu zote zitakazoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho Afrika kwa msimu ujao wa 2025-2026...

    CAF Pict
  3. Yanga haiachi kitu, yabeba tena FA

    DUKE Abuya na Clement Mzize, wamekata kiu ya mashabiki wa Yanga baada ya kufanikisha kutwaa Kombe la Shirikisho (FA) katika mchezo wa fainali uliofanyikwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar.

  4. PRIME Fainali ya FA Yanga v Singida BS vita ipo hapa

    IMEPITA takribani miezi minane sawa na siku 243 tunarudi tena New Amaan Complex, Zanzibar kushuhudia Singida Black Stars ikicheza dhidi ya Yanga.

  5. Rasmi Dube kuikosa fainali FA dhidi ya Singida BS

    YANGA imethibitisha rasmi kwamba katika mchezo wa fainali dhidi ya Singida Black Stars, mshambuliaji wao, Prince Dube hatakuwepo.

  6. Arajiga apewa tena fainali FA Yanga vs Singida BS

    SHIRIKISHO la Soka Tanzania, limemteua Ahmed Arajiga, kuwa mwamuzi wa kati wa mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) utakaozikutanisha Yanga dhidi ya Singida Black Stars.

  7. Fainali FA kwa Ouma, Hamdi ni zaidi ya mechi

    KOCHA wa Yanga, Miloud Hamdi na David Ouma wa Singida Black Stars, kila mmoja anaitazama fainali ya Kombe la Shirikisho (FA) kuwa ni zaidi ya mechi.

  8. Dube azua hofu kambi ya Yanga fainali FA

    LICHA ya kucheza mechi iliyopita ya Ligi dhidi ya Simba, lakini taarifa kutoka katika kambi ya Yanga zinabainisha mshambuliaji huyo hali yake sio nzuri.

  9. Hamdi aingiwa ubaridi fainali FA kisa kikosi cha Singida BS

    KUCHEZA mechi nne za mashindano ndani ya kipindi cha takribani siku 11, imeonekana kuwa ni changamoto kwa Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamdi.

  10. Ouma ataja mambo matatu akiikabili Yanga

    KOCHA wa Singida Black Stars, David Ouma amesema kikosi chao kipo tayari kwa mchezo wa fainali huku akitaja mambo matatu waliyojiandaa nayo.

Page 1 of 22

Next