Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

149 results for OMARY MDOSE :

  1. Wanauliza, tuwapige ngapi?

    HAKUNA kulala wala kuzubaa ndivyo ilivyo katika mechi za duru la pili za Ligi Kuu Bara wakati leo tena vita itaendelea kwenye viwanja viwili tofauti, huku kazi kubwa ikiwa jijini Dar es Salaam...

    Yanga Pict
  2. JKT vs Singida BS patachimbika Mej. Jen Isamuhyo

    REKODI ya JKT Tanzania kuwa timu pekee kwenye Ligi Kuu Bara msimu huu ambayo haijapoteza mechi nyumbani itaendelea kudumu? Hilo ni swali wanalojiuliza wengi wakati Wanajeshi hao wa Kujenga Taifa...

  3. PRIME Ukipigwa umekwisha mbio za ubingwa Ligi Kuu Bara

    MBIO za ubingwa wa Ligi Kuu Bara zimeshika kasi na kufikia patamu. Licha ya kwamba hadi sasa ubingwa huo kuwa wazi kwa timu tano, lakini Simba na Yanga wakionekana na nafasi nzuri.

  4. Chikola aibeba Tabora United ikiichapa Kagera

    BAO moja na asisti moja, vimetosha kumfanya kiungo mshambuliaji wa Tabora United, Offen Chikola kuwa shujaa wa kikosi hicho dhidi ya Kagera Sugar.

    Tabora Pict
  5. Aliyewazuia Dube, Mzize afichua siri, amtaja Chama

    YALE makali ya washambuliaji wa Yanga, Clement Mzize na Prince Dube waliyoyaonyesha mechi saba zilizopita katika Ligi Kuu Bara, kipindi cha Kocha Sead Ramovic, yamezimwa leo Jumatatu na JKT...

  6. Mambo matano dakika 90 za Hamdi Yanga

    KOCHA Miloud Hamdi, amezionja dakika 90 za kwanza akiwa benchi akiiongoza Yanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya JKT Tanzania.

  7. Hamdi aongeza dozi Yanga, mastaa wakiona cha moto

    KATIKA kuhakikisha ile Gusa Achia Pro Max inafanya kazi ipasavyo, kocha mpya wa Yanga, Miloud Hamdi ameongeza dozi kwa mastaa wa timu hiyo.

  8. PRIME Kumbe Diarra kamfunika hapa Camara

    KIKOSI cha Yanga jana jioni kilishuka uwanjani kuvaana na JKT Tanzania katika mechi ya Ligi Kuu Bara, lakini kipa namba moja wa kikosi hicho, Djigui Diarra alikuwa anaumiza kichwa kwa...

    Diarra Pict
  9. Hamdi abanwa jeshini, Yanga yaangusha pointi

    MBINU za makocha Ahmad Ally (JKT Tanzania) na Miloud Hamdi (Yanga) zimeonekana kutoshana nguvu katika dakika 45 za kwanza wakati timu hizo zilipopambana kwenye Uwanja wa Meja Jenerali Isamuhyo, Dar.

    Hamdi Pict
  10. Simba, Tanzania Prisons mechi ya mtego

    KOCHA Fadlu Davids kesho ana kazi ya kuiongoza Simba kurekebisha ilipokosea mechi iliyopita itakapoikaribisha Tanzania Prisons katika mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaochezwa Uwanja wa KMC Complex...

    Prisons Pict

Page 1 of 15

Next