Kauli zamponza mtangazaji Olimpiki MTANGAZAJI mkongwe wa michezo ameondolewa katika kazi yake kwenye Olimpiki ya Paris baada ya kutoa maoni ya ubaguzi wa jinsi kuhusu waogeleaji wa kike wa Australia walioshinda medali ya dhahabu.
Abdulaziz Makame afukuzwa kambini, Heros kwa utovu wa nidhamu Kocha wa Zanzibar Heros, Hemed Suleiman Morocco amemfukuza kambini beki Abdulaziz Makame (Bui) kwenye kambi ya kikosi hicho kinachojiandaa na mashindano ya Mapinduzi Cup yanayotarajiwa kuanza...
Hesabu moja Kombe la Mapinduzi leo Ushindi ndio lengo la kila timu leo wakati Zanzibar Heroes itakapocheza na Burkina Faso katika Uwanja wa Gombani, Pemba ikiwa ni muendelezo wa Kombe la Mapinduzi 2025 kuanzia saa 1:00 usiku.
Elon Musk afikiria kuinunua Liverpool BABA wa bilionea Elon Musk amefichua kwamba mwanaye huyo, ambaye ni tajiri Na.1 duniani anataka kuinunua klabu ya soka ya Liverpool.
Msikie Awesu kuhusu Maxi Zengeli KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Awesu Awesu amemtaja Maxi Nzengeli wa Yanga ni mchezaji mzalendo ndani ya timu yake ambaye anapambana kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa.
Jiongeze: Kamwe na ufalme wa Jangwani Ujio wa Ally Kamwe katika Klabu ya Yanga SC umekuja kuongeza uahi katika mitandao ya kijamii kwa ubunifu na mbinu anazotumia katika kazi yake.
Chama la Ronaldo lachapwa nne Saudia Chama la staa wa dunia Cristiano Ronaldo, Al Nassr limeanza na gundu msimu huu baada ya kulala mabao 4-1 dhidi ya wapinzani wao Al Hilal na kupoteza ubingwa wa kwanza.
Kufeli klabu nne CAF tatizo uwekezaji MDAU wa michezo Masanja Ngwau, ameeleza tatizo kubwa lililozikumba timu nne zilizotolewa mapema kwenye mashindano ya Afrika kwa klabu ni uwezekezaji duni. Masanja amesema klabu za Zanzibar na...
Jubilee yaipiga tafu Don Bosco KATIKA kuendeleza vipaji vya wachezaji wa mchezo wa kikapu nchini, Bima ya Maisha ya Jubilee imeingia katika udhamini wa timu ya Don Bosco Oysterbay yenye wachezaji 60 wa rika mbalimbali kupitia...
James Rodriguez atafuta njia ya kurudi Ulaya JAMES Rodriguez ameripotiwa kujipanga kuondoka Sao Paulo akisaka kurejea katika soka la Ulaya baada ya kufanya mambo ma-kubwa akiwa na timu ya taifa ya Colombia kwenye Copa America.