Rio Ferdinand aipa ujanja Manchester United NGULI wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand, ameishauri klabu hiyo kuweka nguvu kubwa katika usajili wa viungo wawili kwenye dirisha lijalo la majira ya joto, akisisitiza pia kuongeza...
Wasaudia wataka kumalizana na Salah mapema MATAJIRI wa Ligi Kuu Saudi Arabia, wana matumaini makubwa ya kuipata huduma ya mshambuliaji wa Liverpool na timu ya taifa ya Misri, Mohamed Salah katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi.
Kimeumana Chelsea! Enzo Fernandez apigwa ‘pini’, Cucurella matatani Chelsea imeingia katika kipindi cha misukosuko baada ya kiungo wake tegemeo, Enzo Fernandez kupewa adhabu kali kutokana na matamshi yake yaliyoashiria kutaka kuondoka klabuni hapo na kujiunga na...
De Zerbi: Nipo tayari kushuka na Spurs KOCHA mpya wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi amesema yuko tayari kubaki na klabu hiyo msimu ujao hata kama itashuka daraja mwishoni mwa msimu huu.
Ndo hivyo! Baada Buffon, Gravina ni zamu ya Gattuso HAKUNA namna. Baada ya kipigo kilichoiondoa Italia kwenye kufuzu fainali za Kombe la Dunia 2026, baadhi ya viongozi wa timu ya taifa wameanza kujichomoa kwenye timu hiyo wakiwamo Rais wa...
Bayern Munich yafukuzia rekodi Bundesliga MABINGWA watarajiwa Bayern Munich inaendelea kuwasha moto kwenye Bundesliga ikisaka kuweka rekodi mpya ya mabao msimu huu.
Dar City, Petro de Luanda vita ya nafasi BAL DAR City na Petro de Luanda ya Angola zinatarajiwa kuonyeshana kazi katika mechi ya Ligi ya Kikapu ya Afrika (BAL) inayotazamiwa kutoa mwelekeo wa mabingwa wa Ligi ya Kikapu Dar es Salaam (BDL)...
Simba yavuna pointi tatu, yaibanjua Coastal Union Simba imefanikiwa kusogea hadi nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara baada ya kuibuka na uahindi wa mabao 2-0 dhidi ya Coastal Union.
Italia yasikilizia ofa ya mezani Kombe la Dunia TIMU ya taifa ya Italia ina matumaini madogo ya kushiriki fainali za Kombe la Dunia, mwaka huu, licha ya kutolewa kwa aibu na Bosnia katika mechi ya mchujo ya kuwania kufuzu, ambapo kwa sasa...