Stars yaweka rekodi mpya Afcon Stars imeondolewa baada ya kutoka suluhu na DR Congo, lakini ikiweka rekodi ya kukusanya pointi mbili kwenye Kundi F, jambo ambalo haikuwahi kwenye fainali mbili huko nyuma.
Klopp: Tumepigwa, hakuna shida Liverpool imepoteza kwa mabao 3-0 ikiwa nyumbani dhidi ya Atalanta katika mchezo wa Europa League hatua ya robo fainali uliochezwa Anfield, jana usiku, huku kocha wao Jurgen Klopp akisema hakuna...
Spidoch Band yaachia kichupa kipya fasta SIKU chache kabla ya bendi ya Spidoch 'Wazungu Weusi' haijazinduliwa rasmi katika onyesho lililopangwa kufanyika Oktoba 27, kundi hilo limeachia kichupa kipya cha wimbo uitwao 'Wasamehe'
Gofu vijana mguu saw michuano ya Afrika Timu ya Taifa ya gofu ya wachezaji vijana wa Tanzania inatarajia kuondoka nchini Aprili 15 kuelekea Kampala, Uganda kushiriki mashindano ya Afrika.
Staa Msuva arejea zake Morocco BAADA ya muda wake wa mapumziko mafupi kumalizika nchini, mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva amerejea zake Morocco kuendelea na majukumu yake ya kuitumikia, Wydad Casablanca.
TFF yakubaliwa mashabiki mwishooni.. Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limeruhusu mchezo baina ya Taifa Stars na Benin kesho kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa kuingia mashabiki wasiozidi 10,000 Ofisa Habari wa TFF, Clifford...
Sakata la Fei Toto kusikilizwa Mei 4, Yanga yamuita mezani Kiungo Feisal Salum 'Fei Toto' alifika mbele ya Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji leo Aprili 12 kujua hatma ya barua yake ya kuomba kuvunja mkataba na klabu ya Yanga. Fei Toto aliongozana...
Palace yang'ata meno mbele ya Man City Pep Guardiola hakuonekana kuchanganyikiwa baada ya Manchester City kupoteza nafasi kibao za kufunga na kulazimishwa sare ya bila kufungana na Crystal Palace, matokeo ambayo yameweka rehani...
Rais FIFA aipongeza Simba Rais wa Shirikisho la Kimatiafa la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA), Gianni Infantino ameipongeza timu ya Simba kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa msimu wa 2020/2021. Katika barua...
Miss Tanzania 2023 aanza kusakwa PAZIA la kumsaka mlimbwende wa Tanzania kwa mwaka 2023 limefunguliwa rasmi huku likitarajiwa kuwa na mchuano mkali.