Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

701 results for Damian Masyenene :

  1. Mamluki waziponza Mwanza JIJI, Dodoma Shemisemita

    MASHINDANO ya 39 kwa Watumishi wa Halmashauri za Serikali za Mitaa Tanzania (Shemisemita) yalihitimishwa juzi kwa timu ya soka ya Geita kuichapa Ifakara mabao 3-1 kwenye Uwanja wa Nyamagana, huku...

  2. Mpole, Okutu wapewa akili mpya Pamba Jiji

    MSHAMBULIAJI wa zamani wa Pamba, Stand United na Mbeya City, Abasirim Chidiebere raia wa Nigeria amesema mwanzo mgumu iliyoanza nao Pamba Jiji katika Ligi Kuu Bara ni kutokana na udhaifu wa eneo...

  3. Geita Gold yaanza kujitafuta mapema

    KOCHA Mkuu wa Geita Gold, Amani Josiah amesema anatambua baada ya usajili uliofanyika mashabiki wengi wamewawekea malengo makubwa, hivyo hataki kuwaangusha huku akiwaahidi watarajie ushindani...

  4. Aliyeiua Namungo mzuka umepanda

    BAADA ya kucheza mechi ya kwanza Ligi Kuu Bara baada ya kukosekana kwa takribani mwaka mmoja na nusu, huku akifunga bao lililowapa Tabora United ushindi, beki wa kushoto Salum Chuku, amesema...

  5. Kirumba bado kugumu kwa Pamba

    Mwanza. Pamba Jiji imeshindwa kufurukuta tena katika uwanja wake wa nyumbani wa CCM Kirumba jijini Mwanza baada ya kushindwa kuondoka na pointi tatu ikilazimishwa sare ya pili mfululizo katika...

  6. Mpole hatihati kuivaa Dodoma Jiji

    KESHO Pamba Jiji itarusha karata yake ya pili Ligi Kuu itakapoikabili Dodoma Jiji katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku shauku ya mashabiki wa timu hiyo kumuona mshambuliaji wao...

  7. Mkanwa amrithi Josiah Biashara Utd

    KLABU ya Biashara United ya Mara imeingia makubaliano ya msimu mmoja na Henry Mkanwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship, huku akiwa na kibarua cha kuipandisha...

  8. Siri ya usajili wa Bui, Simchimba Geita Gold

    BAADA ya kukamilisha kuunda benchi la ufundi chini ya Kocha Mkuu, Amani Josiah, klabu ya Geita Gold imehamishia nguvu kusuka kikosi cha msimu ujao na imeanza kushusha majembe mapya iliyosajili...

  9. Minziro aibukia Mwadui FC

    BAADA ya kuachana na Kagera Sugar, Fredy Felix ‘Minziro’ ameibukia Mwadui FC inayojiandaa na Ligi ya Champpionship msimu huu, huku akipewa kibarua cha kuunda kikosi cha timu hiyo kitakacholeta...

  10. Pamba Jiji yarudi Ligi Kuu na gundu

    PAMBA Jiji juzi Ijumaa ilicheza kwa mara ya kwanza mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kupita miaka 23 tangu iliposhuka daraja mwaka 2001 na kuishia kutoka suluhu na Tanzania Prisons, lakini sare...

Previous

Page 10 of 71

Next