Klabu ya Gymkhana, Mwananchi wapanda miti 600 kwa lengo la kuboresha mandhari Klabu ya michezo ya Dar es Salaam Gymkhana Club, kwa kushirikiana na Kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL), imepiga hatua muhimu katika uhifadhi wa mazingira kwa kupanda miti 600...
Arbeloa alalamikia VAR, Madrid ikinyimwa penalti dhidi ya Girona Kocha wa Real Madrid, Alvaro Arbeloa amekosoa vikali uamuzi wa klabu yake kutopewa penalti baada ya Kylian Mbappe kuchezewa vibaya kwenye eneo la boksi katika mechi ya La liga dhidi ya Girona...
Michael Olise Winga mwenye mikoba yake Bayern Munich WINGA mahiri wa Bayern Munich, Michael Olise, ameibuka kuwa mmoja wa wachezaji bora zaidi barani Ulaya, akigeuka kuwa mhimili mkuu wa ubunifu ndani ya kikosi hicho cha Ujerumani.
Garnacho akiri makosa yake, asisitiza hana kinyongo WINGA wa Chelsea, Alejandro Garnacho, amezungumza kwa mara pili kuhusu kuondoka kwake katika Manchester United akisema kuwa ingawa hatua hiyo ilimuumiza, lakini bado ana heshima na upendo mkubwa...
Ripoti ya CAG yaanika madudu Pamba, Dodoma Jiji RIPOTI ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ya ukaguzi wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Sekretarieti za Mikoa, na Mamlaka za Serikali za Mitaa kwa mwaka wa...
Wachezaji 5 hatari wa NBA ambao hawakuwahi kubeba ubingwa KATIKA historia ya NBA, kuna wachezaji wengi waliokuwa na vipaji vikubwa lakini hawakuwahi kushinda ubingwa.
Nne zatajwa kuitaka saini ya Robertson BEKI wa kushoto wa kimataifa wa Scotland, Andrew Robertson, amethibitisha kuwa ataondoka Liverpool mwisho wa msimu huu baada ya miaka tisa kwenye Uwanja wa Anfield, lakini tayari kuna klabu nne...
De Zerbi: Spurs subirini pira biriani Kocha mpya wa Tottenham Hotspur, Roberto De Zerbi, ameahidi kuirejeshea hadhi klabu hiyo na kuwapa mashabiki aina ya soka la kuvutia lililokuwa likichezwa chini ya aliyekuwa kocha wao, Ange...
Chelsea kiroho safi kwa Enzo Fernandez CHELSEA inaweza kumuweka sokoni kiungo wake wa kimataifa wa Argentina, Enzo Fernandez, 25, katika dirisha la majira ya kiangazi ikiwa itashindwa kufuzu kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa msimu ujao.
Endrick apata habari njema, kuitwa baba NYOTA chipukizi wa Real Madrid, Endrick Felipe Moreira de Sousa maarufu kama Endrick (19), anayecheza kwa mkopo Olympique Lyon ya Ufaransa na mkewe Gabriely Miranda (23), wametangaza kuwa...