Raha ya Manchester Derby ipo hapa MECHI tano zilizopita. Manchester United imeshinda mbili, Manchester City imeshinda tatu. Jumapili, kinapigwa tena.
Arsenal, Manchester United zalainishiwa kwa Gyokeres MABOSI wa Sporting Lisbon wapo tayari kupunguza bei ya mshambuliaji wa timu hiyo na timu ya taifa ya Sweden, Viktor Gyokeres katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi kutoka Pauni 85 milioni...
Arsenal mpo? wale jamaa wanacheza NDIYO hivyo. Hakuna mchezaji yeyote kati ya wanne wa Real Madrid waliokuwa wakichunguzwa na UEFA ambaye atakosa mechi ijayo ya robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Arsenal, Jumanne.
Hawa hapa wakali wa kutupia NBA KATIKA mpira wa kikapu, hakuna silaha kali kama uwezo wa mchezaji kufunga kwa usahihi - iwe ni kupitia mapigo ya karibu na kikapu au kwa mitupo ya mbali ya pointi tatu.
Arteta adai Havertz, Gabriel kutibua usajili KOCHA wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kuna swali zito juu ya hali za wachezaji Kai Havertz na Gabriel baada ya kufanyiwa upasuaji na kwamba wakali hao wanaweza kuwa na athari kubwa kwenye...
Mke wa Onana alizwa mkoba wa Sh200 milioni MKE wa kipa namba moja wa Manchester United, Andre Onana ameripotiwa kuporwa na wezi mkoba wake wa Hermes Birkin wenye thamani ya Pauni 62,000 pamoja na saa ya Rolex.
De Bruyne aaga zake Man City KIUNGO mshambuliaji Kevin De Bruyne amethibitisha kwamba ataachana na Manchester City mwishoni mwa msimu huu baada ya kuwapo kwenye klabu hiyo kwa muongo mmoja.
Harry Kane anahesabu siku tu kwa sasa HARRY Kane, jana usiku alifunga bao moja wakati Bayern Munich ikipata ushindi wa mabao 3-1 ugenini dhidi ya Augsburg katika Ligi Kuu ya Ujerumani, Bundesliga huku nyota huyo wa Uingereza...
Liverpool wapewe ubingwa wao EPL LIVERPOOL imerejea kwenye makali yake ya ushindi baada ya kuichapa Everton kwenye kipute cha Merseyside derby kilichofanyika Anfield, Jumatano iliyopita.
Gyokeres haifikirii kabisa Man United KLABU saba ambazo straika Viktor Gyokeres amefungua milango ya kwenda kujiunga nazo dirisha lijalo la uhamisho wa majira ya kiangazi zimewekwa bayana na Manchester United hawamo kwenye orodha.