KANUMBA: Maisha ya Bongo Movie yalivyobadilika baada ya kuondoka
IMESHATIMIA miaka 13 sasa tangu kifo cha aliyekuwa muigizaji maarufu nchini, Steven Kanumba. Kila mwaka anakumbukwa na familia yake, waigizaji wenzake, wadau na mashabiki wa kazi za Bongo Movie.