Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

140 results for DK. SHITA SAMWEL :

  1. SPOTI DOKTA: Fahama haya kabla ya ukimbiaji

    SIKU za hivi karibuni kumekuwa na mwamko kwa wazee na vijana kufanya mazoezi mepesi ya kukimbia katika maeneo maalumu, barabarani au katika marathon maaarufu zinafanyika hapa nchini. Mfano ni...

  2. PRIME SPOTI DOKTA: Majeraha ya KDB wa Man City yapo hivi

    kutazama ukubwa wa majeraha ya tishu laini ni kile cha MRI. Kipimo hiki kinaonyesha picha nzuri ya hali ya tishu. Matibabu yanategemeana na daraja la jeraha, mara nyingi daraja la tatu huwa ni...

  3. PRIME SPOTI DOKTA: Ni upimaji afya tu kwa kwenda mbele

    HIVI sasa kila kukicha ni habari za mitandaoni za hivi punde. Mara staa fulani anatua klabu ile, mara paap habari hiyohiyo inakanushwa kuwa staa huyo bado hajasaini mkataba. Naam! Ndio soka la...

  4. PRIME SPOTIDOKTA: Wanayoyafanya mastaa kipindi hiki

    HAPA Bongo ni hekaheka za klabu kubwa nchini ikiwamo Yanga, Simba na Azam kuingia chimbo kusaka nyota wakali wataocheza msimu ujao na kuwapa mafanikio. Hata kule kimataifa mwendo ni huohuo kila...

  5. PRIME SPOTIDOKTA: Usicheze ukiwa na maumivu ya viungo

    Ligi mbalimbali duniani zimeisha, wiki iliyopita mwishoni kulikuwa na mechi kadhaa za kimataifa ikiwamo zile za kunyang’anyiro cha kupata nafasi ya mashindano ya mataifa ya Afrika. Ukiacha hayo...

  6. PRIME SPOTIDOKTA: Umuhimu wa Fair Play na ushabiki ubora kwenye soka

    KATIKA tuzo za TFF kwa msimu wa 2022-2023, kiungo mshambuliaji wa Simba, Saido Ntibazonkiza, alishinda tuzo ya Fair Play akiwapikunyota wenzake wa Msimbazi, Pape Osmane Sakho na Jean Baleke.

  7. PRIME SPOTIDOKTA: Haya ndio yaliyozibeba Wanafainali wa 2023

    WIKIENDI iliyopita ilikuwa tamu kwa wapenda soka kutokana na kusheheni fainali pendwa hapa duniani ikiwamo ile ya Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA iliyochezwa Jumamosi na ile ya Ligi ya Mabingwa...

  8. SPOTIDOKTA: Mwili mkakamavu unajengwa hivi

    KILA kijana wa kisasa anapenda kuvaa mavazi ya kisasa ambayo yanaendana vyema na mwili wake kwa lengo la kuwa na mwonekano nadhivu wenye kuvutia. Lakini mwili huo wenye kuendana na mavazi hayo...

    New Content Item (1)
  9. SPOTIDOKTA: Mashabiki wanakata moto uwanjani kwa sababu hizi

    KATIKA mchezo kwanza ya fainali ya kombe la shirikisho CAF uliochezwa Jumapili jijini DSM katika dimba la Mkapa klabu ya Yanga ilipoteza mchezo huo kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya US Alger ya...

  10. SPOTIDOKTA: Tatizo la mvutiko mkali wa misuli kwa wanasoka

    HIVI sasa Ligi mbalimbali duniani zinaelekea kwisha na huku pia baadhi ya timu ziko katika hatua za fainali katika mashindano mengine. Mfano kwa hapa Tanzania klabu ya Yanga iko katika fainali ya...

Previous

Page 9 of 14

Next