Luke Shaw kukatwa mshahara Man United BEKI Luke Shaw atalazimika kukubali kupunguziwa mshahara ikiwa anataka kusaini mkataba mpya na Manchester United.
Chelsea kumtoa Jackson kwa Juve Chelsea FC huenda wakamtumia mshambuliaji Nicolas Jackson kama sehemu ya makubaliano ya kumsajili beki wa Juventus FC, Andrea Cambiaso.
Munoz atua Anfield, sasa wafukuzia Diomande LIVERPOOL wamekamilisha usajili wa winga wa Hispania, Victor Munoz, huku pia wakiijulisha RB Leipzig kuwa wako tayari kutoa euro100 milioni kwa ajili ya winga Yan Diomande.
Kone ‘mguu wake umening’inia’ Vancouver FURAHA ya Canada kupata ushindi wake wa kwanza kabisa katika Kombe la Dunia iligubikwa na simanzi kubwa baada ya kiungo nyota Ismael Kone kupata jeraha baya la kutisha wakati wa ushindi wa mabao...
Arsenal kufungua dimba na Coventry City Premier League Ratiba ya Ligi Kuu England 2026/2027 imetolewa rasmi leo Ijumaa, Juni 19, 2026 ikitarajiwa kuanza Agosti 21, 2026 na kumalizika Mei 30 mwakani.
Kilichozipunguza makali JKT, ABC, Srelio BDL LIGI ya Kikapu Dar es Salaam (BDL) inazidi kushika kasi huku timu kongwe zikijikuta zikisuasua zikiwamo JKT, ABC na Srelio.
Messi atakuwepo Kombe la Dunia 2030 Timu ya taifa ya Argentina ilianza vyema utetezi wa taji lake la Kombe la Dunia la mwaka 2022 lililoshinda nchini Qatar, baada ya Lionel Messi kufunga mabao matatu (hat-trick) dhidi ya Algeria...
Siri nyuma ya hat-trick za Kombe la Dunia KOMBE la Dunia lina vitu vyake buana na wanasema raha ya mechi bao! Zimekuwapo hat-trick 55 zilizofungwa katika michuano ya fainali hizo upande wa wanaume hadi ile ya jana iliyotupia na staa wa...
Diomande, Bouaddi madogo walioanza mapema sana IKIWA Ayyoub Bouaddi na Yan Diomande ni dalili ya kitu chochote, basi mustakabali unaonekana kuwa mzuri kwa Morocco na Ivory Coast mtawalia baada ya kuwa na 'maonyesho' ya kuvutia katika mechi...