AFCON 2027: Makonda aanika ramani ya miundombinu bungeni
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan, tayari ameridhia na kutoa kiasi cha Dola za Marekani 30,000,000 (Sh78 milioni) kama ada ya uandaaji wa Fainali za Kombe la Mataifa...