Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

8447 results for Mwandishi Wetu :

  1. Utabiri Argentina, Ufaransa fainali, England mmh!

    KOMPYUTA maalumu ya kutabiri matokeo ya mashindano (supercomputer) imetabiri kuwa Argentina na Ufaransa zitakutana tena kwenye fainali ya Kombe la Dunia 2026, kama ilivyokuwa mwaka 2022.

    UTABIRI Pict
  2. Kikosi bora hatua ya makundi, Halaand, Dembele nje

    BAADA ya michezo 72 kuchezwa, sasa tunafahamu rasmi timu 32 zilizofuzu hatua ya mtoano ya Kombe la Dunia 2026.

    KIKOSI
  3. Uruguay kimeumana huko

    WACHEZAJI wa timu ya taifa ya Uruguay wamepata pigo jingine baada Shirikisho la Soka la Uruguay (AUF) kuchukua uamuzi kuvunja kambi na kila mtu kutakiwa kujigharamia mwenyewe safari ya...

    URUGUAY Pict
  4. VAR yainyima bao DR Congo

    VAR kwa mara nyingine imeendelea kuzionea timu za Afrika baada ya Ghana sasa ni DR Congo walinyimwa bao la kuvutia dhidi ya Uzbekistan, uamuzi ambao uliibua hasira kubwa kutoka kwa mashabiki na...

    VAR Pict
  5. Kombe la Dunia 2026 tunaanza upyaaaa

    NDIYO. Kama alivyosema mshambuliaji wa England, Harry Kane na Kocha wake, Thomas Tuchel, Kombe la Dunia linafanana na mashindano mawili. Ya kwanza yameisha na sasa yanaingia ya pili, hatua ya 32...

    32 BORA Pict
  6. Chelsea yamgeukia Granit Xhaka

    Chelsea imeanza mipango ya kutaka kufanya usajili wa kushangaza kwa kumleta kiungo Granit Xhaka kwenye Uwanja wa Stamford Bridge.

    XAKA Pict
  7. England yafuzu 32 bora Kombe la Dunia ikiacha maswali

    VIJANA wa Thomas Tuchel, England wamekamilisha kazi ya kwanza baada ya kumaliza vinara wa Kundi L na kufuzu hatua ya 32 bora ya Kombe la Dunia 2026, lakini kiwango walichoonyesha dhidi ya Panama...

  8. Colombia kuivaa Ghana, Ureno wakutane na Croatia 32 Bora

    TIMU ya taifa ya Colombia imehitimisha hatua ya makundi ya Kombe la Dunia 2026 ikiwa kileleni mwa Kundi K baada ya kutoka suluhu dhidi ya Ureno katika mchezo uliochezwa usiku wa kuamkia leo...

  9. Gakpo apata pigo kambini Uholanzi ikiisubiri Morocco 32 Bora

    Mshambuliaji wa Liverpool, Cody Gakpo, amepata pigo akiwa kambini na kikosi cha Uholanzi baada ya kupokea taarifa za mtoto wake wa kiume aliyetarajiwa kuzaliwa Oktoba mwaka huu, kufia tumboni.

  10. Dembele anavyoisaka tena Ballon d’Or kimyakimya

    JUZI, ulimwengu wa soka ulishuhudia shangwe la hat-trick ya Ousmane Dembele dhidi ya Norway ambayo inaonyesha kwa nini Ufaransa ni miongoni mwa wapinzani bora wa Kombe la Dunia 2026.

Previous

Page 62 of 845

Next