Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7857 results for Mwandishi Wetu :

  1. Jarida la Time lamtaja Mo Dewji wahisani bora 100

    Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, ametajwa katika orodha ya TIME100 Philanthropy 2026 inayotolewa na jarida maarufu duniani la TIME, ikiwa ni kutambua mchango wake kwa jamii kupitia...

    DEWJI Pict
  2. El Hadji Diouf kutumikia adhabu gerezani

    Nyota wa zamani wa Liverpool, El Hadji Diouf ameamriwa kutumikia hukumu ya kifungo kilichokuwa kimesimamishwa baada ya kushindwa kutoa matunzo ya kila mwezi ya mtoto wake, Keyla.

    DIOUF Pict
  3. Mbappe amshutumu Arbeloa hadharani

    WAKATI mashabiki wa soka wa Ufaransa wakitathmini kikosi cha timu ya taifa lao (The Blues), nahodha wa taifa hilo, Kylian Mbappe ameaendeleza kile kinachoonekana kuwa hali ya mambo ndani ya Real...

    KYLIAN Pict
  4. Mbappe akabidhiwa ufaransa Kombe la Dunia 2026

    STRAIKA wa Real Madrid, Kylian Mbappe na mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or Ousmane Dembele wataongoza kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa kuelekea Kombe la Dunia baada ya kocha Didier Deschamps...

    MBAPPE Pict (1)
  5. Tanzania yajiandaa kutangaza Utalii Kombe la Dunia 2026

    Wizara ya Maliasili na Utalii, imepanga kutumia Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico kuanzia mwezi ujao, kutangaza vivutio vya utalii hapa nchini.

    UTALII Pict
  6. Suarez hatihati kwenda Kombe la Dunia 2026

    Ndoto ya mshambuliaji Luis Suarez kucheza kwa mara ya tano Kombe la Dunia akiwa na Uruguay ipo shakani.

    SUAREZ Pict
  7. Algeria yasaka rekodi mpya Kombe La Dunia 2026

    TIMU ya taifa ya Algeria inajipanga kurejesha heshima yake katika soka la Afrika na dunia ikiweka malengo ya kufanya makubwa katika fainali za Kombe la Dunia 2026 zinazotaraji kutimua vumbi...

    ALGERIA Pict
  8. Usajili wa kibabe kunogesha Ligi ya Kikapu Dar (BDL)

    WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikitarajia kuanza kesho kwenye Uwanja wa Don Bosco, Upanga, baadhi ya makocha wamesema timu zilizofanya usajili mkubwa zina nafasi kubwa...

    FALC 04 (1)
  9. ‎Ancelotti asaini minne Brazil, afichua jambo ‎

    Shirikisho la Kandanda la Brazil (CBF) limetangaza kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa hilo, Carlo Ancelotti amesaini mkataba mpya wa miaka minne utakaodumu hadi Julai 2030.

    CARLO Pict
  10. ‎Neuer atajwa kikosi cha awali Ujerumani Kombe la Dunia

    ‎Kipa nguli wa Bayern Munich, Manuel Neuer anaripotiwa kuwa mbioni kukatisha kustaafu kwake ili kurejea kuitumikia timu ya taifa ya Ujerumani katika michuano ya Kombe la Dunia.

    NUER Pict
Previous

Page 49 of 786

Next