Jarida la Time lamtaja Mo Dewji wahisani bora 100 Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, ametajwa katika orodha ya TIME100 Philanthropy 2026 inayotolewa na jarida maarufu duniani la TIME, ikiwa ni kutambua mchango wake kwa jamii kupitia...
El Hadji Diouf kutumikia adhabu gerezani Nyota wa zamani wa Liverpool, El Hadji Diouf ameamriwa kutumikia hukumu ya kifungo kilichokuwa kimesimamishwa baada ya kushindwa kutoa matunzo ya kila mwezi ya mtoto wake, Keyla.
Mbappe amshutumu Arbeloa hadharani WAKATI mashabiki wa soka wa Ufaransa wakitathmini kikosi cha timu ya taifa lao (The Blues), nahodha wa taifa hilo, Kylian Mbappe ameaendeleza kile kinachoonekana kuwa hali ya mambo ndani ya Real...
Mbappe akabidhiwa ufaransa Kombe la Dunia 2026 STRAIKA wa Real Madrid, Kylian Mbappe na mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or Ousmane Dembele wataongoza kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa kuelekea Kombe la Dunia baada ya kocha Didier Deschamps...
Tanzania yajiandaa kutangaza Utalii Kombe la Dunia 2026 Wizara ya Maliasili na Utalii, imepanga kutumia Fainali za Kombe la Dunia 2026 zitakazofanyika Marekani, Canada na Mexico kuanzia mwezi ujao, kutangaza vivutio vya utalii hapa nchini.
Suarez hatihati kwenda Kombe la Dunia 2026 Ndoto ya mshambuliaji Luis Suarez kucheza kwa mara ya tano Kombe la Dunia akiwa na Uruguay ipo shakani.
Algeria yasaka rekodi mpya Kombe La Dunia 2026 TIMU ya taifa ya Algeria inajipanga kurejesha heshima yake katika soka la Afrika na dunia ikiweka malengo ya kufanya makubwa katika fainali za Kombe la Dunia 2026 zinazotaraji kutimua vumbi...
Usajili wa kibabe kunogesha Ligi ya Kikapu Dar (BDL) WAKATI Ligi ya Mpira wa Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL) ikitarajia kuanza kesho kwenye Uwanja wa Don Bosco, Upanga, baadhi ya makocha wamesema timu zilizofanya usajili mkubwa zina nafasi kubwa...
Ancelotti asaini minne Brazil, afichua jambo Shirikisho la Kandanda la Brazil (CBF) limetangaza kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa hilo, Carlo Ancelotti amesaini mkataba mpya wa miaka minne utakaodumu hadi Julai 2030.
Neuer atajwa kikosi cha awali Ujerumani Kombe la Dunia Kipa nguli wa Bayern Munich, Manuel Neuer anaripotiwa kuwa mbioni kukatisha kustaafu kwake ili kurejea kuitumikia timu ya taifa ya Ujerumani katika michuano ya Kombe la Dunia.