Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

7856 results for Mwandishi Wetu :

  1. Azam TV yaweka rekodi, kuonyesha mechi zote 104 Kombe la Dunia

    Kwa mara ya kwanza katika historia, kituo cha luninga cha Azam TV kitaonesha mbashara mechi zote 104 za Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Canada, Marekani na Mexico.

  2. Nani ni nani mchuano wa mchezaji bora EPL

    MASTAA walioteuliwa kuwania tuzo ya Mchezaji Bora msimu wa Ligi Kuu England 2025-26 tayari imetolewa na wiki ijayo, Mei 23, mshindi anapatikana wakati michuano hiyo ikiwa katika hatua za mwisho...

    TUZO Pict
  3. Simulizi vita ya kushuka daraja La Liga 2025/26

    Tayari vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Hispania (LaLiga) 2025/26 imeshamalizika. Barcelona wamebeba huku Real Madrid ikiwa na uhakika kumaliza nafasi ya pili na Villarreal na Atletico Madrid...

    USHINDANI Pict
  4. Wataalamu waonya kuhusu joto Kombe la Dunia 2026

    KUNDI la wataalamu 20 wa kimataifa wa afya, mabadiliko ya tabianchi na sayansi ya michezo wamelionya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kwamba hatua zake za sasa za kukabiliana na joto kali...

    JOTO Pict
  5. Cape Verde 'muujiza wa soka' Kombe la Dunia 2026

    Julai 5,1975, bendera ya Cape Verde ilipepea kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Várzea katika mji mkuu wa Praia, ikiwa ni siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa Ureno. Wakati huo...

    CAPE VERDE Pict
  6. Chelsea, Man City kuwania ubingwa wa Kombe la FA

    FAINALI ya 145 katika Kombe la FA nchini England, inachezwa leo Jumamosi majira ya saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Wembley ambapo Chelsea itapambana na Manchester City.

    FA CUP Pict
  7. Tanzanite Queens yapewa Brazil, England Kombe la Dunia Wanawake U-20

    UPANGAJI wa makundi na ratiba kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia la Wanawake chini ya miaka 20, umeifanya Tanzanite Queens kuangukia Kundi B lenye timu za Brazil, England na Canada.

    TANZANIA Pict
  8. Vinicius Junior, Manchester City kuna jambo linaendelea

    IIMEFICHUKA kuwa Manchester City ni miongoni mwa klabu zinazowania saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Vinícius Junior, 25, kuelekea dirisha lijalo la majira ya...

    FUNUNU Pict
  9. Beckham awafunika Ronaldo na Messi

    WANAPOTAJWA mastaa wa soka wenye utajiri zaidi duniani kwa sasa kuna majina ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ambao mkwanja walionao unazidi Pauni 500 milioni, lakini sasa mwanasoka wa zamani...

    BECKHAM Pict
  10. Jarida la Time lamtaja Mo Dewji wahisani bora 100

    Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, ametajwa katika orodha ya TIME100 Philanthropy 2026 inayotolewa na jarida maarufu duniani la TIME, ikiwa ni kutambua mchango wake kwa jamii kupitia...

    DEWJI Pict
Previous

Page 48 of 786

Next