Azam TV yaweka rekodi, kuonyesha mechi zote 104 Kombe la Dunia Kwa mara ya kwanza katika historia, kituo cha luninga cha Azam TV kitaonesha mbashara mechi zote 104 za Fainali za Kombe la Dunia zitakazofanyika Canada, Marekani na Mexico.
Nani ni nani mchuano wa mchezaji bora EPL MASTAA walioteuliwa kuwania tuzo ya Mchezaji Bora msimu wa Ligi Kuu England 2025-26 tayari imetolewa na wiki ijayo, Mei 23, mshindi anapatikana wakati michuano hiyo ikiwa katika hatua za mwisho...
Simulizi vita ya kushuka daraja La Liga 2025/26 Tayari vita ya ubingwa wa Ligi Kuu Hispania (LaLiga) 2025/26 imeshamalizika. Barcelona wamebeba huku Real Madrid ikiwa na uhakika kumaliza nafasi ya pili na Villarreal na Atletico Madrid...
Wataalamu waonya kuhusu joto Kombe la Dunia 2026 KUNDI la wataalamu 20 wa kimataifa wa afya, mabadiliko ya tabianchi na sayansi ya michezo wamelionya Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA), kwamba hatua zake za sasa za kukabiliana na joto kali...
Cape Verde 'muujiza wa soka' Kombe la Dunia 2026 Julai 5,1975, bendera ya Cape Verde ilipepea kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Várzea katika mji mkuu wa Praia, ikiwa ni siku ambayo taifa hilo lilipata uhuru wake kutoka kwa Ureno. Wakati huo...
Chelsea, Man City kuwania ubingwa wa Kombe la FA FAINALI ya 145 katika Kombe la FA nchini England, inachezwa leo Jumamosi majira ya saa 11 jioni kwenye Uwanja wa Wembley ambapo Chelsea itapambana na Manchester City.
Tanzanite Queens yapewa Brazil, England Kombe la Dunia Wanawake U-20 UPANGAJI wa makundi na ratiba kwa ajili ya Fainali za Kombe la Dunia la Wanawake chini ya miaka 20, umeifanya Tanzanite Queens kuangukia Kundi B lenye timu za Brazil, England na Canada.
Vinicius Junior, Manchester City kuna jambo linaendelea IIMEFICHUKA kuwa Manchester City ni miongoni mwa klabu zinazowania saini ya mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Brazil, Vinícius Junior, 25, kuelekea dirisha lijalo la majira ya...
Beckham awafunika Ronaldo na Messi WANAPOTAJWA mastaa wa soka wenye utajiri zaidi duniani kwa sasa kuna majina ya Cristiano Ronaldo na Lionel Messi ambao mkwanja walionao unazidi Pauni 500 milioni, lakini sasa mwanasoka wa zamani...
Jarida la Time lamtaja Mo Dewji wahisani bora 100 Mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji, ametajwa katika orodha ya TIME100 Philanthropy 2026 inayotolewa na jarida maarufu duniani la TIME, ikiwa ni kutambua mchango wake kwa jamii kupitia...