West Ham, Nuno mambo yamenyooka Uongozi wa klabu ya West Ham United umethibitisha kocha Nuno Espirito Santo ataendelea kuinoa timu hiyo kwa lengo la kuirejesha Ligi Kuu ya England msimu ujao.
Serengeti Boy kwenye mikono salama ya Haji WAKATI Tanzania ikijiandaa kwa mechi kubwa zaidi katika historia ya soka lake la vijana, kuna jina moja ambalo limekuwa nguzo muhimu katika safari ya ajabu ya Serengeti Boys kufika fainali ya...
Gvardiol, Rodri waibua hofu Man City MUSTAKABALI wa nyota wawili wa Manchester City, Josko Gvardiol na Rodri uko shakani baada ya kukataa kuondoa uwezekano wa kuondoka klabuni msimu huu wa joto, wakisema watafanya uamuzi baada ya...
Droni za tiba kutumika Kombe la Dunia 2026 Viwanja vya Kombe la Dunia 2026 vitatumia ndege zisizo na rubani maarufu droni zenye vifaa vya uokoaji maisha ili kutoa msaada wa haraka wakati wa dharura za kiafya kwa mashabiki.
Bruno awafunika nyota Arsenal KIUNGO wa Manchester United, Bruno Fernandes, amewabwaga nyota watatu wa Arsenal na kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa msimu wa Ligi Kuu England 2025-2026.
Nahodha Crystal Palace apania ubingwa UEFA Conference League Nahodha na kipa wa Crystal Palace, Dean Henderson, amewataka wachezaji wenzake kupambana kupata ushindi wakati timu hiyo itakaposhuka dimbani kucheza mechi ya fainali ya Conference League kesho...
Enzo Fernandez asisitiza kuondoka Chelsea Kiungo wa Argentina, Enzo Fernandez, anataka kuondoka Chelsea msimu huu wa kiangazi, huku klabu hiyo ikitaka dau la pauni milioni 120 (zaidi ya sh390 bilioni) ili kumwachia.
Fainali NBA mambo yanaanza HATIMAYE pazia la Fainali za NBA limefunguliwa leo alfajiri, huku New York Knicks na San Antonio Spurs zikikabiliana katika vita ya kuwania ubingwa unaoweza kumaliza ukame wa muda mrefu wa mataji...
New York Knicks yaiduwaza Spurs NBA New York Knicks imeanza kwa kishindo mfululizo wa fainali za NBA baada ya kuichapa San Antonio Spurs kwa pointi 105-95 katika mchezo wa kwanza wa fainali.
Davido kutumbuiza Kombe la Dunia Mwanamuziki Davido amethibitishwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza katika tamasha la awali la kuelekea Kombe la Dunia la FIFA 2026, litakalofanyika Juni 10, Jijini Los Angeles, Marekani.