Dominik Szoboszlai apata dili nono Liverpool KIUNGO wa Liverpool, Dominik Szoboszlai, anakaribia kusaini mkataba mpya wa muda mrefu utakaoongeza kwa kiasi kikubwa maslahi yake ndani ya klabu hiyo.
Michael Olise mbioni Real Madrid NYOTA wa Bayern Munich na timu ya taifa ya Ufaransa, Michael Olise, ameripotiwa kuwa na hamu kubwa ya kujiunga na Real Madrid katika dirisha hili la usajili.
Wacheza gofu 150 kuchuana Vodacom Corporate Masters ZAIDI ya wachezaji 150 wa gofu kutoka ndani na nje ya Tanzania, wanatarajiwa kushiriki mashindano ya Vodacom Corporate Masters 2026 yatakayofanyika Agosti 1, 2026 kwenye Viwanja vya Gofu Lugalo...
Slavko Vinčić kuamua Hispania vs Argentina SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA) limemtangaza mwamuzi wa kimataifa kutoka Slovenia, Slavko Vinčić, kuwa msimamizi wa mchezo wa fainali ya Kombe la Dunia 2026 utakaowakutanisha mabingwa...
Pete maalum kwa mabingwa Kombe La Dunia SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (FIFA), limethibitisha kuwa washindi wa Kombe la Dunia 2026 watatunukiwa pete maalumu za ubingwa (Championship Rings) kwa mara ya kwanza katika historia ya...
Bellingham, Ashlyn mapenzi motomoto KWA miaka mingi, imekuwa ikijulikana kuwa mama wa Jude Bellingham, Denise, ndiye shabiki wake mkubwa na mtu aliyekuwa karibu naye tangu alipoanza safari yake ya soka.
Messi: Kutoka winga mwenye kasi hadi mfalme wa soka la akili IWAPO Argentina itafanikiwa kutetea ubingwa wa Kombe la Dunia 2026, jambo ambalo halijawahi kufanywa na taifa lolote tangu Brazil mwaka 1962, basi jina la Lionel Messi litakuwa kiini cha...
LeBron James afikia uamuzi mgumu SAFARI ya mkongwe LeBron James kuelekea msimu mpya wa NBA imeingia hatua ya mwisho, huku ikielezwa kuwa tayari ana taarifa zote muhimu zinazohitajika kabla ya kufanya uamuzi wa timu atakayoichezea.
Chelsea yafuta posti ya Enzo kisa mashabiki wa England CHELSEA imejikuta kwenye wakati mgumu baada ya mashabiki wake kuishambulia vikali klabu hiyo kufuatia kuchapisha picha ya Enzo Fernandez akishangilia bao lake dhidi ya England katika nusu fainali...
Serikali yaitaka timu ya Jumuia Madola kurudi na medali Serikali imewataka wanamichezo wa Tanzania wanaokwenda kushiriki Michezo ya Jumuiya ya Madola ya mwaka 2026 mjini Glasgow, Scotland, kuhakikisha wanarejea nyumbani wakiwa na medali huku taifa...