Mingange apata mrithi Chama la Wana KLABU ya Stand United ‘Chama la Wana’ ya Shinyanga iko hatua za mwisho za kumalizana na Kocha wa Fountain Gate Princess, Juma Masoud ili achukue nafasi iliyoachwa wazi na Meja Mstaafu Abdul...
Sunzu, maveterani kuchangia madogo wenye saratani WACHEZAJI wa zamani wa klabu mbalimbali jijini Mwanza wameandaa tamasha la michezo ya kirafiki katika mchezo wa soka na netiboli, ili kuchangisha fedha za kusaidia mahitaji mbalimbali ya watoto...
Kocha Stand aukubali mziki wa Geita Gold, ajipanga upya BAADA ya kumaliza mzunguko wa kwanza Ligi ya Championship kinyonge kwa kuchapwa mabao 3-1 na Geita Gold, Kocha Msaidizi wa Stand United, Feisal Hau amekubali kiwango cha wapinzani wake huku...
Mabao yairejesha Kagera Sugar kambini haraka BENCHI la ufundi la Kagera Sugar limepanga kuanza mapema maandalizi ya duru la pili la Ligi Kuu Bara wiki ijayo baada ya kuwapa mapumziko ya wiki tatu wachezaji, huku ikielezwa tatizo la ufungaji...
PRIME Soka la Mzize lamshtua Mnigeria MSHAMBULIAJI wa Yanga, Clement Mzize ameendelea kuwa gumzo kwa mashabiki na wadau wa soka kutuokana na kiwango kizuri alichokionyesha hadi sasa katika mechi za mashindano zote za timu hiyo.
Usajili wazibeba JKT Queens, Simba KOCHA Mkuu wa Alliance Girls, Sultan Juma amesema kwa sasa Simba Queens na JKT Queens hazina upinzani kwenye mbio za ubingwa wa Ligi Kuu ya Wanawake kutokana na kufanya usajili bora na uwekezaji...
Ditram Nchimbi apewa miezi sita Mbeya City MSHAMBULIAJI nyota wa zamani wa Majimaji, Yanga, Polisi Tanzania na Taifa Stars, Ditram Nchimbi amejiunga na Mbeya Kwanza inayoshiriki Ligi ya Championship kwa mkataba wa miezi sita hadi mwisho...
Kigi Makasi achimba mkwara Championship KIGI Makasi, nyota wa zamani wa Simba, Yanga na Mtibwa Sugar aliyetua Stand United ‘Chama la Wana’ amesema wachezaji na benchi la ufundi la timu hiyo wamekula kiapo cha kushinda mechi za...
Basigi: Mwendo ni huu hadi ubingwa BAADA ya kuhitimisha duru la kwanza Ligi Kuu ya Wanawake (WPL) ikiwa kileleni bila kupoteza mchezo, kocha mkuu wa Simba Queens, Yussif Basigi amesema hawatabweteka na matokeo hayo kwani anakwenda...
5G yamliza Sultan, asaka beki fasta BAADA ya kupata aibu ya kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Simba Queens, kocha mpya wa Alliance Girls, Sultan Juma ameitupia lawama safu ya ulinzi ya timu hiyo na fasta kuamua kutafuta beki wa kati...