Simulizi ya kusikitisha kisa cha jina la Lamine Yamal KWENYE kikosi cha Barcelona, kuna mchezaji anavaa jezi Namba 19 mgongoni.
Aston Villa ina jambo kwa De Bruyne ASTON VILLA wamefanya mazungumzo ya ndani kuhusu uwezekano wa kumsajili nyota wa Manchester City anayetarajiwa kuondoka, Kevin De Bruyne, lakini huenda wakakumbana na ushindani mkubwa kutoka timu...
Fei afungukia bao lake kwa Yanga Kiungo wa Azam Feisal Salum, Fei Toto, amesema pamoja na kwamba amefanikiwa kuifunga Yanga, lakini timu hiyo ni bora kwenye Ligi Kuu Bara. Yanga imekubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya Azam...
CAFCL: Al Ahly yaanza na moto ule ule WATETEZI wa Ligi ya Mabingwa Afrika, Al Ahly ya Misri imeanza na moto kwa kuikandika Gor Mahia ya Kenya ikiwa jijini Nairobi ikiendeleza pale ilipoishia msimu uliopita ilipotwaa taji la pili...
PRIME Chama, Aziz Ki kuna jambo linaendelea Simba, Yanga KUNA kitu kinaendelea ndani ya Simba na Yanga kuhusu usajili wa Clatous Chama.
Kina Diarra watishia kujiondoa Mali kisa sakata la Traore Wachezaji wametoa taarifa wakifafanua kuwa maamuzi yote ya awali kuhusu masuala ya timu yalifanywa kwa pamoja na kundi lote la wachezaji na siyo Traoré pekee na kueleza hapaswi kuwajibishwa peke...
Azam kutesti kwa Wydad AC BAADA ya juzi kulazimishwa sare ya 1-1 na Union Touarga, matajiri wa soka la Bongo, Azam FC leo usiku watashuka tena uwanjani kutesti mitambo mbele ya mabingwa wa zamani wa Morocco na Afrika...
Siri ya kilio cha baba yake EndricK ni hii WIKIENDI iliyopita, kinda kutoka Brazil, Endrick alitambulishwa kwa mashabiki kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu ikiwa ni siku chache tu tangu akamilishe usajili wake wa kujiunga na mabingwa hao...
Tuzo yampa jeuri Mpole MSHAMBULIAJI wa Pamba Jiji, George Mpole amefunguka kwa mara ya kwanza tangu arejee Ligi Kuu Bara akijiunga na timu hiyo ya Mwanza, akisema tuzo ya Nyota wa Mchezo dhidi ya Dodoma Jiji ni mwanzo...
Kenya yaibeba Afrika Olimpiki 2024 WAKATI michezo wa Olimpiki ikitarajiwa kufungwa rasmi leo kuhitimisha siku 19 za msimu wa michezo hiyo inayofanyikia Paris, Ufaransa nchi ya Kenya ndio iliyolibeba bara la Afrika kwa kuongoza...