Palmer ni rekodi tu huko Chelsea STAA, Cole Palmer bado hajabeba mataji kulingana na magwiji wa zama za karibuni kwenye kikosi cha Chelsea, lakini Mwingereza huyo amekuwa mchezaji muhimu kwa rekodi za kibabe kabisa huko Stamford...
Slot apindua meza liverpool LIVERPOOL, ENGLAND : ARNE Slot sasa anaweza kuandikisha historia mpya kwa kufuta kumbukumbu mbaya zilizowahi kuikumba Liverpool katika miaka ya hivi karibuni, akijipatia sifa zaidi kutokana na...
PRIME Yanga kwanza, Simba yamgeukia Dube SIMBA imemuwekea Prince Dube Sh.120Mil mezani ili amwage wino wakamalizane na Azam, akawachomolea waziwazi.
TFF, Yanga kumekucha... YANGA wamewaambia mashabiki wao mitandaoni kwamba wameshamaliza madai kwa kuwalipa wachezaji wao wawili walioifungulia kesi Shirikisho la Soka Duniani (FIFA), Shirikisho la Soka Tanzania (TFF)...
Euro 2024 ni darasa kwa AFCON ULAYA na dunia kwa sasa inashuhudia fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya 'Uefa Euro 2024' zinazoendelea Ujerumani zikishirikisha nchi 24 na sasa zimeingia raundi ya p[ili hatua ya makundi.
Maajabu! Mr Ibu azikwa sebuleni, baada ya siku 118 tangu afariki Hatimaye mwili wa mchekeshaji maarufu wa Nigeria, John Okafour 'Mr Ibu' umezikwa majuzi ikiwa ni baada ya kupitia siku 118 tangu alipofariki dunia, Machi 2 mwaka huu.
Hukumu ya Beno ndani ya saa 72 BAADA ya sakata la kutoroka kambini lililomkumba, Kipa wa Singida Fountain Gate, Beno Kakolanya hukumu yake itatolewa ndani ya dakika 72. Kipa huyo aliyewahi kuichezea Simba na Yanga alidaiwa...
Saliboko ashika nafasi ya 71 Olimpiki Kabla ya hapo, jana Jumatatu Julai 29, 2024, mchezaji wa judo wa Tanzania, Andrew Mlugu, aliondolewa hatua ya 16 baada ya kupoteza kwa alama 10-0 dhidi ya Mfaransa, Joan Benjamin Gaba katika...
Mzambia kunogesha mbio za magari Tanga DEREVA muongozaji (navigator) kutoka Zambia, David Sihoka ni mmoja wa magwiji wa mbio za magari wa daraja la juu barani Afrika wanaotegemewa kunogesha mashindano ya mbio za magari ya Advent...
Hivi ndivyo Simba, Chama walivyomalizana TAARIFA zinabainisha kwamba, ile filamu ya Clatous Chama na Simba imefikia mwisho baada ya mchezaji huyo mkataba wake kumalizika na ishu ya kuongezewa muda wa kusalia Msimbazi ikishindikana, huku...