Azam inatema nyota wa kigeni AZAM FC imeanza hesabu za kuboresha kikosi chao na katika ramani ya usajili wao kuna mastaa watatu kutoka mataifa mbalimbali watapisha nafasi. Taarifa kutoka kikosi kazi cha maskauti wa timu...
Kaze afanya badiliko moja tu kuivaa Azam Kikosi cha Azam FC kilikuwa cha kwanza kuingia Uwanja wa Amaan kukabiliana na Yanga katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Mapinduzi huku Yanga ikiwa na badiliko moja la mchezaji kwenye kikosi...
ZA NDAANI KABISA: Yanga bado inampigia hesabu Mbrazil YANGA inaona bado inakosa huduma ya winga wa kisasa anayejua kutengeneza mashambulizi makali wakati wakisubiri ratiba ya kujua wataangukia kundi lipi katika hatua ya Makundi ya Kombe la...
Ivory Coast ilivyowashangaza kina Inonga Ikishuhudiwa na nyota wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba, timu ya Taifa ya Ivory Coast imefuzu fainali ya Afcon baada ya kuifunga DR Congo bao 1-0, kwenye Uwanja wa Alassane Ouattara.
Gamondi akaa kikao kizito na mastaa Wakati timu chache zikiwa hazijamaliza mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, tayari Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi ameanza hesabu ya mechi za mzunguko wa pili, huku akiweka kikao na mastaa wake.
Lule kuongeza nguvu Ihefu ALIYEKUWA kocha msaidizi wa Singida Fountain Gate, Mathias Lule leo amejiunga katika kambi ya klabu ya Ihefu. Ihefu imeweka kambi Jijini Arusha kwa ajili ya kujiandaa na mzunguko wa pili wa Ligi...
Straika aibwaga Yanga atimkia Ulaya Mshambuliaji aliyekuwa akiwindwa na Yanga, Sankara Karamoko amekamilisha uhamisho wa kutua katika Klabu ya Wolfsberger AC ya Austria baada ya kudumu ndani ya Asec Mimosas kwa miaka...
Katumbi yamkuta mapya DR Congo Tajiri wa timu ya TP Mazembe, Moise Katumbi yamemkuta mapya baada ya kuzuiwa kusafiri kwenda kutazama dabi ya watani kati ya timu yake na FC Lupopo inayopigwa leo. Muda mfupi ujao Mazembe...
PRIME Msuva apangua usajili Yanga MSHAMBULIAJI Simon Msuva yupo nchini tayari baada ya kutua tangu majuzi kimyakimya, kuwahi kambi ya timu ya taifa inayojiandaa na fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon), lakini akianzia...
Mastaa Simba wapewa siku 10 KOCHA wa Simba, Abdelhak Benchikha wamewapa mapumziko ya siku 10 wachezaji wake ambapo watarejea kambini Januari 24 mwaka huu, kujiandaa na mechi mbalimbali za mashindano...