Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

692 results for Victoria Melkiad :

  1. Dili jipya la Lawi hadharani

    Wakati Simba ikiondoka nchini juzi kwenda Misri kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao bila Lameck Lawi, taarifa ikufike nyota huyo wa Coastal Union yupo zake bize akipambana kukamilisha safari...

  2. Saa 72 kuamua hatma ya Aziz KI Yanga

    MASHABIKI wa Yanga wamepata presha ya ghafla wakati wenzao wa Simba wanacheka, huku wakiomba dua mbaya kiungo Stephanie Aziz KI aondoke Jangwani, lakini kocha wa timu hiyo, Miguel Gamondi...

  3. Yanga yashusha beki usiku mnene, Wakongo waleta kauzibe

    SAA chache kabla ya kambi mpya ya Yanga kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano kuanza kesho Jumatatu, mabosi wa klabu hiyo wakimpokea beki wa kushoto mpya.

  4. Coastal UNION yamkomalia Lawi

    WAGOSI wa Kaya, Coastal Union imeendelea kuikazia Simba kwa kumng’ang’ania beki wa kati Lameck Lawi, ambaye hapo awali walikubaliana kumuuza kwa Wekundu hao kabla ya kubadili gia hewani.

  5. Mastaa Yanga wampokea Chama kifalme

    HUKO Jangwani, unaambiwa sio mashabiki na wapenzi tu wa Yanga waliofurahishwa na ujio wa kiungo mshambuliaji mpya wa timu hiyo, Clatous Chama aliyesajiliwa akitoka kumaliza mkataba na Simba...

  6. Yanga yaanza na 'Thank You' mbili kimyakimya

    YANGA imeanza kutoa 'thank you' kimyakimya, ambapo imeshawaaga nyota wawili akiwemo kipa, Metacha Mnata na kiungo mmoja, Zawadi Mauya.

  7. Mrithi wa Inonga Simba huyu hapa

    MASTAA wa Simba wanaanza kujumuika pamoja kuanzia kesho Jumatatu, lakini utamu zaidi ni dili la mrithi wa beki wa kati aliyetimkia FAR Rabat ya Morocco

  8. Guede kumpisha Sowah Yanga

    YANGA ipo kwenye mazungumzo ya kumpata mshambuliaji raia wa Ghana, Jonathan Sowah kwa mkopo wa mwaka mmoja kutoka Al-Nasr Benghazi ya Libya aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kwa mkataba wa miaka...

  9. Mwamnyeto apewa miwili Yanga

    NAHODHA wa Yanga, Bakar Mwamnyeto ameongeza mkataba wa miaka miwili ili kukitumikia kikosi hicho, huku klabu hiyo ikitoa Sh300 milioni kama pesa ya usajili huo. Mwamnyeto aliyekitumikia kikosi...

  10. Simba yamfuata beki mpya Yanga

    DILI la Simba limebuma baada ya kutaka kumnyampia beki wa FC Lupopo, Chadrack Boka, ambaye hawakujua kama tayari ameshamalizana na Yanga. Boka ni mchezaji wa kwanza kusaini Yanga baada ya...

Previous

Page 37 of 70

Next