Luka Modric, Milan wamalizana KIUNGO wa Real Madrid, Luka Modric anatarajiwa kufanyiwa vipimo vya afya na AC Milan mwezi ujao baada ya Kombe la Dunia la Klabu kumalizika.
Thomas Partey atoa ya moyoni KIUNGO wa Arsenal, Thomas Partey amefunguka kuhusu hatima yake baada ya kuonekana katika orodha ya wachezaji waliotangazwa kuwa huru na Arsenal.
Barcelona hali si shwari, Flick akuna kichwa LICHA ya kukaribia kushinda taji la La Liga msimu huu baada ya kushinda mabao 4-3 dhidi ya Celta Vigo, Jumamosi iliyopita, Kocha wa Barcelona, Hansi Flick anakabiliwa na hali ya wasiwasi...
EPL ni neema TIMU za Ligi Kuu England, Manchester United, Arsenal na Liverpool ambazo zinapambana kutafuta pesa kwa ajili ya kufanya usajili ili kuboresha vikosi ziko mbioni kupokea mapato makubwa baada ya...
TAJIRI ANAUMIA: Mmiliki wa zamani ana jambo Chelsea TAJIRI na mmiliki wa zamani wa Chelsea, Roman Abramovich anadaiwa kuwa bado roho inamuuma juu ya kuiuza timu hiyo ambayo kwake ilikuwa ni sehemu ya furaha yake.
Amorim: miwili inatosha KOCHA wa Manchester United, Ruben Amorim amesema ikiwa hatopata mafanikio ndani ya miaka miwili basi ataondoka kwenye timu hiyo.
Mastaa Yanga wampa Ramovic kiburi Wakati Yanga ikibakiza siku moja kucheza mechi yake ya kwanza ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika msimu, kocha wa timu hiyo Sead Ramovic amesema licha ya muda mfupi alionao kuelekea...
90 za kujiuliza kwa Abuya, Rupia MECHI za kuwania kufuzu Kombe la Dunia 2026 kwa Ukanda wa Afrika zinatarajiwa kuendelea leo Jumapili na nyota wawili wanaocheza Ligi Kuu Bara katika timu za Yanga na Singida Black Stars, watakuwa...
Sudan yaizuia Sudan Kusini Uwanja wa Ndege kwa saa 3 TIMU ya taifa ya mpira ya Sudan Kusini, 'Bright Stars', iliripotiwa kukwama kwenye uwanja wa ndege wa Benina huko Benghazi nchini Libya baada ya kuwasili kwaajili ya mchezo wa kufuzu ushiriki wa...
Ramires alivyoshtua watu kwa mwonekano wake KUNA huu msemo, eti unaanza kuzeeka kwanza kabla ya kuwa kijana.