NI HUYU: Refa wa Simba, Yanga ajadiliwa usiku mnene Dar JOTO la mpambano wa Ligi Kuu Bara baina ya Yanga na Simba utakaopigwa Jumamosi saa 11 jioni wiki hii katika Uwanja wa Mkapa linazidi kupanda.
Nabi: Tunakuja kivingine dhidi ya Simba YANGA imeingia kambini jana mchana tayari kwa maandalizi dhidi ya Simba lakini kocha wao Nasreddine Nabi ametamka kwamba watashuka na mambo mapya ndani ya mchezo huo.
Gaucho arudi Simba Queens BAADA ya vita ya muda mrefu kati ya Simba Queens na Yanga Princess juu ya mshambuliaji wa Twiga Stars, hatimaye Simba imeshinda vita hiyo na imefanikiwa kuinasa saini ya Mwanahamisi Omary...
Bigirimana awaita fasta mabosi Yanga WAKATI Yanga ikipiga hesabu kali juu ya mastaa wake wa kigeni nani atoke ili washushe majembe mapya, moja ya majina ya mastaa wanaotajwa kuwa kwenye mipango ya kuondolewa ni kiungo Mrundi Gael...
Mwamuzi azirudisha Yanga, Rivers vyumbani Hitilafu za umeme katika Uwanja wa Benjamin Mkapa zimeendelea ambapo leo tena zimesimamisha mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika kati ya wenyeji Yanga dhidi ya Rivers United. Mchezo huo...
Mkude, Metacha warejea kikosini Yanga Dar es Salaam. Nyota watatu wa Yanga wamerejea kikosini kwa ajili ya kuanza maandalizi ya kuivaa Azam FC, ukiwa ni mchezo wa Ligi Kuu unaotarajiwa kuchezwa kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar es Salaam...
Mazembe: Yanga wanaenda robo fainali CAF MASHABIKI wa Yanga wanalia na timu yao kushindwa kupata pointi tatu za kwanza ugenini kwenye mechi za Hatua ya Makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika, lakini wapinzani wao TP Mazembe wameumia na...
PRIME Machezo: Maxi hakabiki kirahisi KIUNGO wa JKT Tanzania, Hassan Nassor Maulid ‘Machezo’ aliyesimama kati na kuchuana na Mudathir Yahya na Stephane Aziz Ki wa Yanga katika mechi ya Ligi Kuu Bara na timu hiyo kupigwa mabao 5-0...
Mbadala wa Tuisila ni balaa KUNA mashine nyingine ambayo punde itatua kwenye ardhi ya Tanzania kama mambo yakienda kama yalivyopangwa. Yanga imemalizana na winga Mkongomani, Ducapel Moloko ambaye ni mbadala wa Tuisila...
Mke wa Mane arudi shule Ndoa hiyo ilifungwa Januari 7, 2024 huko Keur Massar, kitongoji cha mji mkuu wa Dakar, siku kadhaa kabla ya kuanza kwa Kombe la Afrika (AFCON) 2023.