Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

759 results for Nevumba Abubakar :

  1. Che Malone awaomba radhi mashabiki Simba

    BEKI wa kati wa Simba, Che Malone leo amewaomba radhi mashabiki wa timu hiyo kutokana kosa alilolifanya jana kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Bravos ya Angola.

    Malone Pict
  2. Kamungo ala shavu Marekani

    KIUNGO mshambuliaji raia wa Tanzania, Bernard Kamungo amepata shavu la kuongeza mkataba wa miaka mitatu hadi 2028 katika klabu yake ya FC Dallas ya Ligi Kuu ya Marekani (MLS).

    Kamongo Pict
  3. Winifrida Charles arejea Fountain Gate baada ya kupona

    BAADA ya kukaa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha ya goti, hatimaye kiungo mshambuliaji wa Fountain Gate Princess, Winifrida Charles, amerejea akicheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Boni...

    Winfrida Pict
  4. Kinda la Yanga laingia kikosi bora

    KINDA wa Yanga, Shaibu Mtita anayekipiga Wakiso Giants ya Uganda ameingia kwenye kikosi bora cha raundi ya 15 baada ya kufanya vizuri kwenye nusu ya msimu wa ligi ya nchi hiyo.

    Kinda Pict
  5. Kina Enekia waanza pale walipoishia Mexico

    WATANZANIA wawili wanaokipiga Ligi ya Wanawake ya Mexico kila mmoja ameanza msimu mpya kama walivyomaliza msimu uliopita.

    Eneka Pict
  6. Straika Mtanzania arejea Bongo

    STRAIKA wa zamani wa Fleetwoods United FC, Mgaya Ally iliyokuwa inashiriki Ligi Darala la Pili UAE yuko Bongo akiwindwa na Coastal Union ya Tanga.

    Bongo Pict
  7. Mnunka akubali yaishe Simba Queens

    BAADA ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi mitano, hatimaye straika wa Simba Queens, Aisha Mnunka amekubali yaishe na kuingia kambini na wenzake.

    Mnuka Pict
  8. JKT Queens yabeba wawili wapya

    JKT Queens kama ilivyo kawaida yake ya kusajili wachezaji chipukuzi ambao wanafanya vizuri, tayari imenasa saini za wachezaji wapya wawili makinda wenye vipaji.

    JKT Pict
  9. Nyota Bayern mwenye asili ya Bongo ataja sababu kutimkia Uswisi

    WINGA wa Bayern Munich, Nestory Irankunda mwenye asili ya Tanzania ametolewa kwa mkopo na klabu hiyo kwenda Grasshopper Club Zurich ya Uswisi.

  10. Simba yapewa Mbukinabe, Mnyarwanda Yanga

    SIMBA na Yanga zipo ugenini kwa sasa zikijiandaa na mechi za raundi ya tano za michuano ya kimataifa inayopigwa wikiendi hii, huku Shirikisho la Soka Afrika (CAF) likitangaza waamuzi...

Previous

Page 27 of 76

Next