Sterling mbaroni NYOTA wa zamani wa soka wa England, Raheem Sterling, amekamatwa kwa tuhuma za kuendesha gari akituhumiwa kuwa alikuwa ametumia dawa zinazodaiwa kuwa za kulevya baada ya kusababisha ajali kwa...
Maeneo ya 'kula bata' Kombe la Dunia 2026 KOMBE la Dunia 2026 litakalofanyika kwa pamoja katika nchi tatu kubwa za Amerika Kaskazini, Marekani, Canada na Mexico utakuwa mtoko wa kipekee na wa kihistoria utakaochanganya soka, utalii...
Iraq; Simba wanaorudi kombe la dunia 2026 IRAQ ambako anacheza soka la kulipwa mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania, Simon Msuva ni moja ya mataifa yenye historia kubwa ya soka huko Mashariki ya Kati na bara la Asia.
Arsenal inavyoweza kuifumua PSG fainali UEFA CL WANASEMA sukuma presha, shambulia upande wa kushoto na linda kama maisha yako hatarini. Arsenal wapo hatua moja kutoka kuandika historia usiku wa leo.
Ubora utaamua nani kuibuka kidedea fainali UEFA CL LEO inapigwa fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya PSG na Arsenal, lakini ukifuatilia utagundua kwamba PSG ambao ni mabingwa watetezi wa michuano hiyo walikuwa na muda mrefu wa kupumzika...
Miujiza ya Kvaradona kuamua fainali Ulaya? AKIWA na bao au pasi ya bao katika michezo saba mfululizo ya hatua ya mtoano, hakuna mchezaji aliyeathiri zaidi hatua za mwisho za Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu huu kuliko winga wa kimataifa wa...
Anthony Gordon apewa miaka mitano Barcelona FC Barcelona wametangaza rasmi usajili wa Anthony Gordon baada ya kukamilisha hatua za mwisho za uhamisho wake leo Ijumaa Mei 29,2026.
Sababu ya Lingard kuitwa ‘Jlingz’ yafichuka SABABU ya kiungo Jesse Lingard kutumia jina la “JLingz” mgongoni mwa jezi yake imefichuka baada ya Corinthians kuibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Barra katika michuano ya Copa do Brasil.
Anthony Gordon mambo safi Barcelona NYOTA wa England na Newcastle United, Anthony Gordon, amewasili jijini Barcelona kwa ndege binafsi kukamilisha dili lake la pauni 70 milioni kwenda kwa mabingwa hao wa Hispania.
Real Madrid kusukwa upya kwa Sh60.6 bilioni Real Madrid inalazimika kufanya mabadiliko makubwa ndani ya kikosi chake. Inaonekana majira haya ya kiangazi yatakuwa ya hekaheka nyingi kwa klabu hiyo, jambo ambalo si rahisi hasa kutokana na...