Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

3917 results for Mwandishi Wetu :

  1. MKWANJA: Masupastaa 10 wenye thamani kubwa zaidi sokoni kwa sasa

    MASUPASTAA wa soka wenye thamani kubwa zaidi duniani wamewekwa hadharani, huku Ligi Kuu England ikiingiza mastaa wawili tu kwenye orodha hiyo.

    MKWANJA Pict
  2. Mbeumo achaguliwa timu Man United, Spurs

    STAA Bryan Mbeumo ametakiwa achague kwenda Tottenham Hotspur badala ya Manchester United baada ya vita ya miamba hiyo kuwania saini yake kuzidi kupamba moto.

    MBEUMO Pict
  3. De Bruyne, Napoli kitu kimeeleweka

    KIUNGO Kevin De Bruyne anajiandaa kujiunga na Napoli kwa dili la mkataba wa miaka miwili baada ya kufikia makubaliano na mabingwa hao wa Italia.

    BRUYNE Pict
  4. Kwa Arsenal hii, kazi ipo 2025/26

    MISIMU mitatu mfululizo kumaliza katika nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu England, hilo limewachosha Arsenal.

    ARSENAL Pict
  5. Manchester United yapanga mikakati kwa Osimhen

    MANCHESTER United inafanya majadiliano ya ndani kuhusu ofa ambayo inaweza kuiandaa kwa ajili ya kumsajili mshambuliaji wa Napoli na timu ya taifa ya Nigeria, Victor Osimhen, mwenye umri wa miaka 26.

    TETESI Pict
  6. Donnarumma ashtua mabosi Old Trafford

    MANCHESTER United imepata mzuka baada ya kusikia kwamba kipa wa Paris Saint-Germain, Gianluigi Donnarumma anaweza kupatikana kwa bei ya kutupa.

    KIPA Pict
  7. Winga Cherki katua tunduni Man City

    MANCHESTER City imethibitisha kumsajili kiungo wa Olympique Lyon, Rayan Cherki kwa ada ya Pauni 31 milioni.

    CHEKRY Pict
  8. Chelsea yaacha vifaa Kombe la Dunia

    CHELSEA imepiga chini mastaa wenye thamani ya Pauni 150 milioni katika kikosi chake kitakachokwenda kuchuana kwenye fainali za Kombe la Dunia la Klabu litakalofanyika Marekani mwezi huu.

    CHELSEA Pict
  9. Saka afichua wasiwasi wake wakati akijiuguza

    STAA wa Arsenal, Bukayo Saka amefunguka athari alizokabiliana nazo kimwili na kiakili wakati alipokumbwa na majeraha makubwa yaliyoweka kwenye mashaka makubwa maisha yake ya soka.

    SAKA Pict
  10. Manchester United yatema kibao

    MANCHESTER United imethibitisha itawatema mastaa wake Christian Eriksen, Jonny Evans na Victor Lindelof kwenye dirisha hili la uhamisho wa majira ya kiangazi baada ya mikataba yao kumalizika.

    MAN UTD Pict
Previous

Page 25 of 392

Next