Bellingham apokewa kishujaa Birmingham JUDE Bellingham alipokewa kama shujaa na mashabiki wa Birmingham City juzi usiku aliporejea kwenye uwanja wa klabu yake ya utotoni na kushuhudia timu hiyo ikiifunga Barcelona kwa mikwaju ya penalti.
Winga Chelsea ashinda kesi, kurudi dimbani WINGA wa Chelsea, Mykhailo Mudryk ameruhusiwa kurejea mara moja kucheza soka baada ya Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kukubali kwa sehemu rufaa yake dhidi ya adhabu ya miaka minne...
FIFA yasalimu amri, yafuta m,pango wa kulipiga bei Kombe la Dunia SHIRIKISHO la Soka Duniani (Fifa), limeufuta mpango wake wa kuuza sehemu ya hisa za haki za kibiashara za Kombe la Dunia kwa wawekezaji binafsi, baada ya kukumbana na upinzani mkubwa kutoka kwa...
Mikasa ya Edmundo 'The Animal' NI katika sherehe ya siku ya kwanza ya kuzaliwa ya mwanawe, mmoja wa wanasoka maarufu zaidi duniani aliyezua gumzo kwa kumpa bia na whisky sokwe aitwaye Pedrinho, aliyekuwa amevalishwa tracksuit.
Yanga yatesti mitambo, yampiga mtu wiki Yanga imecheza mchezo wa kwanza wa kirafiki dhidi ya Magereza ya Dar es Salaam ikishinda kwa mabao 7-2. Mchezo huo uliopigwa kwenye uwanja wa mazoezi wa timu hiyo wa Avic, Yanga imetumia karibu...
Koyi, Kishamba wanaitaka nafasi ya ujumbe Yanga TUNAENDELEA kuwamulika wagombea wa nafasi ya ujumbe kwenye uchaguzi wa klabu ya Yanga utakaofanyika Agosti 2, 2026, jijini Dar es Salaam na leo tutakuwa na Julius Koyi na mgombea pekee wa kike...
CHRISTOS; Fundi anayepeleka mabao, mipira ya kufa Arsenal HUENDA Arsenal ilitwaa ubingwa wa Ligi Kuu England kwa mara ya kwanza baada ya miaka 20 msimu uliopita, lakini bado iliingia katika dirisha la usajili la majira ya kiangazi ikiwa na kazi kubwa ya...
Don Carlo: Hii ndo Brazil mpya KOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Carlo Ancelotti ametumia fursa ya kurejea nchini humo baada ya mapumziko mafupi kufuatia kuondolewa kwenye fainali za Kombe la Dunia kueleza dira anayotaka...
Balotelli afufua ugomvi na Zlatan VITA vya maneno kati ya nyota wa zamani wa soka Mario Balotelli na Zlatan Ibrahimovic vimechukua sura mpya baada ya Balotelli kumkumbusha Mswedeni huyo kuhusu taji moja kubwa ambalo hajawahi...
Man United inakuja... inakataa! MANCHESTER United inatarajia kurejea katika Ligi ya Mabingwa Ulaya msimu ujao, sambamba na kupigania mataji mbalimbali ya ndani ya England, lakini kuna jambo ambalo mashabiki wake wanaweza kuanza...