Canada kusaka ushindi wa kwanza Kombe la Dunia NYOTA wa Bayern Munich, Alphonso Davies amejumuishwa katika kikosi cha mwisho cha wachezaji 26 wa timu ya taifa ya Canada kitakachoshiriki Kombe la Dunia 2026, licha ya kuwa bado anaendelea...
Marcelo Bielsa amtema Suárez Kombe la Dunia Zikiwa zimebaki siku 10 kabla ya kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia 2026, kocha wa Uruguay, Marcelo Bielsa amemwacha nje mshambuliaji mkongwe Luis Suárez katika kikosi cha timu hiyo...
XABI ALONSO; Tajiri aliyezifuata pesa za Todd Boehly Chelsea WIKI iliyopita moja kati ya habari zilizotikisa vyombo vya habari duniani ni ile ya Chelsea kufikia makubaliano ya kumwajiri Xabi Alonso kama kocha wao mpya msimu ujao.
Mixx yazindua kampeni ya Kombe la Dunia Zanzibar KAMPUNI ya Mixx kwa kushirikiana na Hisense imeendelea na uzinduzi wa kampeni yake ya “Kila Muamala ni Bao la Ushindi” visiwani Zanzibar, baada ya uzinduzi rasmi uliofanyika jijini Dar es Salaam...
PSG, Luis Enrique na rekodi iliyotukuka Ulaya PARIS Saint-Germain imeendelea kuthibitisha kuwa ni moja ya timu bora zaidi kuwahi kutokea katika soka la Ulaya baada ya kuwa klabu ya pili pekee kufanikiwa kutetea ubingwa wa Ligi ya Mabingwa...
Mo Salah aitisha kikao cha dharura Mshambualiji Mohamed Salah anaweza kubadili uamuzi wa kuondoka Liverpool baada ya kutimuliwa kwa Arne Slot. Salah na Slot waliripotiwa kuwa na tofauti za mara kwa mara msimu huu.i mchezaji huyo...
Luis Enrique hakutaka kazi ya PSG Kocha Luis Enrique sasa amejiunga na kundi la makocha mashuhuri waliowahi kushinda Kombe la Ulaya au Ligi ya Mabingwa mara tatu: Bob Paisley, Pep Guardiola, Carlo Ancelotti na Zinedine Zidane.
Arne Slot aingia rada za AC Milan Kocha Arne Slot ameibuka kama mmoja wa wagombea wanaotajwa kuchukua nafasi ya kuinoa AC Milan baada ya kuondoka katika klabu ya Liverpool.