Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

345 results for Mwandishi Maalumu :

  1. Mtihani, waamuzi Bongo pasua kichwa - 1

    kutokana na uamuzi wao wakati mwingine kuwa na utata. Hata hivyo, uliwahi kujiuliza hao waamuzi wa soka nchini wanapatikana vipi? Ni mali ya nani au wanawajibika kwa nani kati ya Shirikisho la...

  2. MZEE WA UPUPU: Pele alipotoa asisti kwa Puma kuifunga bao Adidas

    ADIDAS na Puma ni kampuni za vifaa vya michezo kutoka Ujerumani. Hizi ni kampuni mbili zilizotoka kwenye familia moja ya Dassler ambayo ilianza biashara hii miaka ya 1920. Ndugu wawili wa...

  3. MTU WA MPIRA: Unamuacha Ntibazonkiza, unamsajili Kisinda?

    KAMA kuna kituko kingine kikubwa kimefanyika mwaka huu ni hiki hapa. Ni hiki cha Yanga kuachana na Saido Ntibazonkiza na kwenda kumsajili Tuisila Kisinda. Ulikuwa ni uamuzi wa ovyo kweli kweli.

  4. MTU WA MPIRA: Yanga inaongozwa kwa mihemko na uswahili fulani hivi

    KUNA vitu vingine kwenye soka letu vinachekesha sana. Ni kama haya mambo yanayoendelea pale Yanga. Ni mambo ya ajabu kuliko ajabu yenyewe. Wiki iliyopita ilimalizika kwa sakata la Feisal Salum...

  5. MZEE WA UPUPU: Pele ndiye chanzo cha mgogoro wa TFF na Yanga

    nyingine ni matayarisho madogo madogo ambayo mwenyekiti huyo hakutaka kuyataja. Hata hivyo, inaeleweka kwamba Yanga ilijiandaa kwa mapokezi makubwa ikiwemo kutengeneza khanga maalumu...

  6. Mashabiki Yanga wabishi

    MASHABIKI waliokuja kushuhudia mechi kati ya Mtibwa Sugar na Yanga walianza kufika kwenye uwanja wa Manungu kwa kusuasua baada ya mageti kufunguliwa saa 4:00 asubuhi.

  7. MZEE WA UPUPU: Mbappe mwana Afrika mwenye rekodi zake Kombe la Dunia

    KIJANA wa miaka 23, Kylian Mbappe amekuwa mfungaji bora wa Kombe la Dunia 2022 nchini Qatar. Mbappe ni Mfaransa mwenye asili ya Afrika, kwa baba na mama. Mama yake mzazi, Fayza Lamari, ni mtu...

  8. MTU WA MPIRA: Bado hatuamini soka letu limepiga hatua kubwa Afrika?

    SOKA letu limepiga hatua sana hasa katika ngazi ya klabu. Inafurahisha kuziona Simba na Yanga kwenye hatua ya makundi ya michuano ya CAF. Tumepiga hatua. Ilikuwa nadra sana kuziona timu za...

  9. MZEE WA UPUPU: Tuishi na kauli ya Tony Kroos - tuzo zimejaa upendeleo

    MAPEMA mwaka 2021, kiungo wa kimataifa wa Ujerumani na klabu ya Real Madrid ya Hispania, Tony Kroos, alitoa maoni yaliyoshtua wengi kuhusu tuzo za wanasoka bora, kuanzia kwenye mechi moja hadi...

  10. Achana na Barbara, kuna mengi Simba

    BUNDI analia Msimbazi.Mambo yanaonekana sio mazuri baada ya Mtendaji Mkuu, Barbara Gonzalez kuandika waraka wa kuachia kiti hicho cha moto. Uvumi mwingi unazagaa kuhusu hatima ya mwekezaji.

Previous

Page 24 of 35

Next