Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

701 results for Damian Masyenene :

  1. Simba yatafuna kiporo, Sarr aibeba

    Simba imemaliza kibabe viporo vyake vya Kanda ya Ziwa kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold, ukiwa ni wa tatu katika mechi nne huku ikiambulia sare moja dhidi ya Azam FC Ijumaa iliyopita.

  2. Chama, Saido waachiwa msala Simba

    BAADA ya kulazimishwa sare ya bao 1-1, dhidi ya Azam, kikosi cha Simba kitakuwa tena kwenye Uwanja wa CCM Kirumba Mwanza kesho kucheza na Geita Gold katika mchezo mkali na wa kusisimua wa Ligi...

  3. Mechi tatu za Simba zawapa jeuri Geita Gold

    BENCHI la ufundi la Geita Gold limesema limepata muda wa kutosha wa kuitazama na kuisoma Simba katika michezo yake mitatu ya viporo jambo ambalo limewasaidia kupata mbinu na njia bora za kuizuia...

  4. Chama aikoa Simba Kirumba

    BAO la jioonii dakika ya 90 la kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chama limeiokoa timu hiyo na kichapo kwenye Dabi ya Mzizima ambayo imepigwa leo katika Uwanja wa CCM Kirumba, jijini...

  5. Mashabiki waitika Kirumba

    IKIWA imebaki saa moja kabla ya mchezo wa Dabi ya Mzizima kati ya Simba na Azam kuanza, tayari mashabiki wameitika uwanjani hapo waki-jitokeza kwa wingi, huku nusu ya Uwanja wa CCM Kirumba...

  6. Simba, Azam hii ni mechi haswa! Iko hivi

    SAHAU kidogo matokeo ya jana usiku. Simba ipo Kirumba jioni hii dhidi ya Azam. Kwa mujibu wa wachambuzi, hii ndio mechi sasa.

  7. Hii noma! Azam kuwakosa wanne dhidi ya Simba

    Kocha wa Azam FC, Bruno Ferry amesema kikosi chake kitawakosa wachezaji wanne kwenye mchezo wa kesho dhidi ya Simba, huku akiwatoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwani kikosi chake kimejiandaa...

  8. Simba: Lazima tuifunge Azam CCM Kirumba, hatukuwakimbia

    Nahodha Msaidizi wa Simba, Mohamed Hussein amesema ushindi katika mchezo dhidi ya Azam ni muhimu kwa kikosi chao ili kipunguze pengo la pointi dhidi ya watani wao, Yanga na kuendelea kupambania...

  9. Kirumba iko tayari kwa Dabi

    MENEJA wa Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa, Lazaro Roman amesema kwa maboresho yaliyofanyika na yanayoendelea uwanjani hapo ana imani kwamba mchezo wa 'Derby ya Mzizima' kati ya Simba na Azam...

  10. Mastaa Mashujaa waivimbia Simba

    KIKOSI cha Simba tayari kimeshatua mjini Kigoma tayari kwa maandalizi ya mchezo wa Ligi Kuu Bara utakaopigwa kesho dhidi ya Mashujaa, huku mastaa wa timu wenyeji wakichimba mkarwa na...

Previous

Page 23 of 71

Next