Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

971 results for Oscar Oscar :

  1. Kocha wa Fei Toto: Nilinusurika kufa mechi ya Yanga

    miezi mitatu. "Nina vijana wadogo wana miaka 15, 16 na 17 tunawaandalia misingi ambayo wakienda nje hawatakutana na changamoto, ambazo zinawasumbua kaka zao wanaokwenda nje na kushindwa...

  2. Mayele aifunika Prisons TZ yote

    BINGWA mtetezi wa Michuano ya Azam Sports Federation Cup (ASFC), Yanga itashuka uwanjani kesho kukabiliana na Tanzania Prisons katika hatua ya 16 ya michuano hiyo.

  3. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Bado Doumbia hajachelewa, tumsubiri

    MHUNI mmoja akaamka asubuhi moja na kuamua kuichangamsha nchi kwa bando lake. Huenda Tanzania bando ni bei rahisi sana. Mhuni mmoja akazusha kwamba, beki mpya wa Yanga kutoka Mali, Mamadou...

  4. Kisa Kocha Stars, TFF yapewa mchongo

    KITENDO cha Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) kukaa kimya hadi sasa juu ya kocha mkuu wa timu ya Taifa Tanzania, kimewaibua wadau mbalimbali wa soka na kuhoji namna wachezaji...

  5. NIONAVYO: Maendeleo ya klabu yaendeleze taifa

    inavyofanyika kwenye mataifa yaliyoendelea kiuchumi na kimichezo.Lengo jingine katika kuruhusu mpira wa kulipwa ni kutengeneza hamasa kwa wazawa ili wajifunze kutoka kwa nyota wanaowahusudu (role...

  6. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kila bao la Yanga lilikuwa muhimu

    Yanga wakamaliza wikiendi wakiwa na furaha kuliko watu wote duniani. Ni baada ya kuwachapa TP Mazembe katika mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika Jumapili. Siku moja nyuma, walikuwa na sherehe...

  7. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Umeyaona matokeo ya timu zetu Afrika?

    WIKI iliyopita tulikuwa na taarifa ya ligi yetu kushika nafasi ya tano Afrika. Ukichukua kigezo cha mafanikio kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika bado Tanzania hatustahili hata kuwemo...

  8. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Ni kweli ligi yetu iko nafasi ya tano Afrika?

    KAMPUNI ya Utafiti za Kimataifa na Historia kwenye Soka (IFFHS), wikiendi iliyopita imeteka mitandao. Imeibua mjadala. Kwa mujibu wa utafiti wao Ligi Kuu Bara inashika nafasi ya tano...

  9. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Mtendaji Mkuu mpya wa Simba atatoboa?

    KARIBU kila kitu unachokiona kwenye mtazamo wa kidijitali pale kwenye Klabu ya Simba muasisi wake ni Imani Kajula. Huyu mwamba ni mtaalamu wa masoko kwelikweli. Ni mtu wa soka haswa na kubwa...

  10. Mrithi wa Kim bado kidogo tu

    SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) limeanza mchakato wa kutafuta kocha mpya wa timu ya taifa, Taifa Stars wa kuchukua nafasio iliyoachwa wazi na Kim Poulsen aliyeondelewa na Mzambia Honour Janza...

Previous

Page 22 of 98

Next