Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

971 results for Oscar Oscar :

  1. KIJIWE CHA SALIM SAIDI SALIM: Papp staa wa ngumi aliyekufa akilaani serikali kumbania

    moja, bali alishinda mara 27 na kutoka sare mara 2 na alishinda mpambano 15 kwa kuwamaliza wapinzani kwa kuwatoa nje ya ulingo mapema (KO). Orodha ndefu ya wapiganaji mashuhuri aliowashinda kwa...

  2. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Jean Baleke ni Haaland mtupu

    KAMA Ufaransa wana Kyllian Mbappe, Hispania wana Karim Benzema na England wana Earling Halaand, basi Tanzania tumebahatika sana. Sisi tuna Fiston Mayele na Jean Baleke. Tuna wanaume wawili wenye...

  3. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Unamwelewa kweli Mo Dewji?

    KWA wa kutazama maendeleo ya klabu zetu uwanjani, Mohamed Dewji maarufu kama MO, anapaswa kuwa Role Model wa matajiri wote wanaowekeza kwenye mpira wetu. Simba bado haijapata mafanikio makubwa...

  4. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Lionel Messi amevipiga vita vilivyo vizuri, imani ameilinda

    Nimesoma mahali PSG wamegawanyika katika suala la Lionel Messi. Mkataba wake na PSG unatamatika mwisho wa msimu huu na bodi imegawanyika kuhusu kumwongezea mkataba mpya. Lipo kundi linalohitaji...

  5. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Umemuona Clatous Chama?

    HADI leo ukiniuliza kwa nini Clatous Chama yuko Tanzania siwezi kukupa jibu la moja kwa moja. Nitajikanyaga kanyanga. Nitajigonga gonga tu. Mchezaji pekee mwenye utu na utulivu. Mchezaji mwenye...

  6. Arsenal bana, hadi mashabiki visu si kitoto

    alinichukua kwenda kuwatazama Arsenal. Ilikuwa ni kama dini kwake.” Mara kadhaa Dido ameonekana Emirates kuishangilia Arsenal. CHARLIZE THERON Mwaka 2009 Charlize alitangaza kwamba anaisapoti...

  7. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Ni kweli Tshabalala na Kapombe wamezeeka?

    SIJAMUELEWA kocha wa Taifa Stars. Sijamuelewa kabisa Adel Amrouche. Nimeshangaa sana kuona timu yetu ya Taifa ‘Taifa Stars’ inaitwa bila kuwa na majina ya Mohammed Hussein, Aboubakary Salum na...

  8. UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Kwanini huyu Kipanya Malapa hayupo studio?

    ILE picha ya Kipanya Malapa akiwa katika kijiwe chake cha kuuza mishikaki imekuwa gumzo mitandaoni wengi wakiitumia kama dhihaka. Wapo walioielewa na kuona anachokifanya ni kitu kizuri kwa ajili...

  9. Huyu ndiye Amrouche, hataki utani

    The Cranes katika mechi za kusaka fainali za CHAN. Mara baada ya Kim kutimuliwa nafasi ilikaimiwa na Honour Janza kutoka Zambia aliyekuwa akiinoa Namungo iliyopo Ligi Kuu Bara kabla ya kutimka...

  10. Yanga inataka Kombe lake

    YANGA bado ipo njia Kuu ikitaka kutetea mataji yake yote mawili yaliyosalia baada ya jana kuichapa Prisons ya Mbeya kwa mabao 4-1 mchezo wa hatua ya 16 Bora ya Kombe la Azam Shirikisho.

Previous

Page 21 of 98

Next