Anayewania tuzo za dunia apata dili Ufaransa MTANZANIA Jaruph Juma anayewania tuzo za mchezaji bora wa Dunia kwa upande wa soka la ufukweni amesema mchezo huo umemfunguliwa fursa nyingi ikiwemo kupata timu Ufaransa.
Mtanzania aanza kuzoea mazingira Misri MSHAMBULIAJI wa Makadi FC, Oscar Evalisto amesema ameanza kuyazoea mazingira ya soka la Misri na licha ya timu hiyo kushiriki daraja la pili, anakiri ni ligi ngumu na ngeni kwa upande wake.
Mechi tano za Chippa United bila Majogoro WAKATI Chippa United ya Afrika Kusini anayeichezea Mtanzania, Baraka Majogoro ikiwa mkiani mwa msimamo wa ligi baada ya michezo 15, nyota huyo amekosekana katika michezo mitano ya mwisho.
Opah kuanza na Chama la Enekia MSHAMBULIAJI wa FC Juarez ya Mexico, Opah Clement anatarajia kucheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Chama la Mtanzania mwenzake, Enekia Lunyamila, Mazaltan.
WPL ikirejea kuna mambo matatu WIKI ijayo Ligi Kuu ya Wanawake inarejea baada ya mapumziko ya siku 28 kupisha timu za taifa kwenye mashindano ya fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) yatakayofanyika mwaka huu...
PRIME Yanga yamrudisha beki kutoka Uganda KIKOSI cha Yanga kesho jioni kitashuka Uwanja wa KMC Complex katika mwendelezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya KMC, lakini kabla ya kipute hcihoo kupigwa inaelezwa benchio la ufundi la timu hiyo lipo...
Wazir Jr amfuata Msuva Iraq MSHAMBULIAJI wa Dodoma Jiji, Wazir Jr Shentembo amejiunga na Al Mina'a FC inayoshiriki Ligi Kuu ya Irak akimfuata Simon Msuva anayekipiga katika timu ya Al Talaba.
PRIME Novatus Miroshi anapita mule mule kwa Samatta NI ndoto ya vijana wengi wa Kitanzania kufika levo ya Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta ya kucheza Ligi kubwa barani Ulaya kutokana na rekodi aliyoweka.
Opah alivyotua kusaka namba Mexico MSHAMBULIAJI Opah Clement wiki hii ametambulishwa FC Juarez ya Mexico inayoshiriki Ligi ya Wanawake nchini humo na kumfanya aongeze idadi ya nyota wa Tanzania wanaocheza ligi hiyo baada ya...
Gets Program kurudi upya WPL KOCHA wa Get Program iliyopanda daraja msimu huu, Aristides Ngowi licha ya kuwa na wachezaji wengi vijana ambao hawana uzoefu na ligi, lakini wanapambana jambo linalowapa motisha ya kujipanga...