AKILI ZA KIJIWENI: Makocha wageni kimewakuta Ligi Kuu KIJIWE kimeanza taratibu kuwakataa makocha wa kigeni wanaofundisha timu zetu za Ligi Kuu msimu huu.
AKILI ZA KIJIWENI: Asante Simon Msuva, Taifa halikudai TUMEKUBALIANA kwa pamoja taifa la Tanzania halimdai chochote kwa sasa mshambuliaji wetu nyota, Saimon Msuva kutokana na kile anachokifanya kwenye timu ya taifa ‘Taifa Stars’.
AKILI ZA KIJIWENI: Kijiwe kinamuaga Mzee King Kikii MSIBA wa mzee Kikumbi Mwanza Mpango umetuachia majonzi hapa kijiweni na kiukweli tumeguswa sana.
Kali Ongala: Mzaliwa wa England anayebeba matumaini KMC KMC hivi karibuni ilipata pigo la ghafla baada ya kocha wake Abdihamid Moalin kuwasilisha rasmi ombi la kuvunja mkataba wa kuitumikia timu hiyo akihitimisha mwaka mmoja na ushee alioitumikia timu...
Sikazwe awatabiria neema marefa Tanzania Mkufunzi wa kimataifa wa marefa wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (Fifa), Janny Sikazwe amesema anaamini marefa wa Tanzania watapata fursa ya kuchezesha fainali za mataifa ya Afrika (Afcon)...
Mastaa Ligi Kuu Bara watamba nchi zao zikifuzu Afcon Ligi Kuu Tanzania Bara imeheshimishwa na nyota wa kigeni wanaochezea timu tofauti za taifa, baada ya vikosi vyao vingi kufanikiwa kutinga fainali za mataifa ya Afrika (Afcon) zitakazofanyika...
PRIME Siku 511 za ubabe wa Gamondi kwa Simba Baada ya kuitumikia Yanga kwa siku 511, kocha Miguel Gamondi leo Novemba 15, 2024 ameonyeshwa mlango wa kutokea kwa kile kinachoonekana ni uongozi wa Yanga kutoridhishwa na mwenendo wa timu...
Baada ya Yanga, TFF yamfungia Gamondi Wakati Yanga ikitangaza kuachana na Miguel Gamondi na msaidizi wake Moussa Ndaw leo, Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limempa adhabu ya kifungo cha mechi tatu na faini ya Sh 2 milioni...
AKILI ZA KIJIWENI: Ateba anaanza kuwapa kazi ngumu Simba TETESI ambazo hapa kijiweni tumezinasa kuhusu Leonel Ateba ni Simba ilitumia kiasi kikubwa cha fedha ili kumsajili akitokea kule Algeria katika timu ya USM Alger.
AKILI ZA KIJIWENI: Mabeki wa kati ndio silaha yetu Tanzania KUNA eneo ambalo tumefanikiwa sana kama taifa kuzalisha wachezaji wa kiwango cha juu ambao wamekuwa na manufaa kwa klabu pamoja na timu zetu za taifa.