Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

887 results for Thobias Sebastian :

  1. Baleke: Tulieni mtafurahi

    STRAIKA mpya wa Simba, Jean Baleke amesema anaamini anaweza kuonyesha kiwango bora zaidi ya alivyocheza mchezo wa kwanza wa kimashindano ndani ya timu hiyo na kuwataka mashabiki wampe...

  2. Simba noma, yaingia anga za vigogo Afrika

    SIMBA wajanja sana kwani baada ya juzi usiku kumalizana na Dodoma Jiji, fasta imegeuza kurudi jijini Dar es Salaam ili kuajindaa na mechi ya Kombe la ASFC dhidi ya Coastal Union, huku ikiiwahi...

  3. Baleke aanza na mkwara Simba

    MSHAMBULIJI mpya wa Simba, Jean Baleke atakuwa sehemu ya kikosi cha timu hiyo kitakachoanza mazoezi mara baada ya kumalizana na mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Mbeya City, huku akichimba...

  4. Yanga yalipa kisasi, Mayele bado moja

    MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara Yanga, wameendeleza moto wale baada ya kupata ushindi kwenye mchezo wa saba mfululizo tangu ilivyopoteza mara ya mwisho na Ihefu. Yanga imepata ushindi wa bao...

  5. Okwa, Akpan ni Ihefu

    NYOTA wawili wa Simba, Nelson Okwa na Victor Akpan waliosajiliwa kwenye dirisha kubwa la usajili msimu huu wamekubali kutolewa kwa mkopo kwenda Ihefu kwenye dirisha ambalo litafungwa kesho...

  6. Simba yamtumia straika mkataba

    MEZANI kwa mabosi wa Simba kuna majina ya wachezaji wapya wanne kati ya hao watatu watasajili kabla ya dirisha dogo la usajili kufungwa Januari 15, licha ya kubaki siku mbili kutokea leo, huku...

  7. Simba kucheza na timu ya UEFA

    KIKOSI cha Simba kabla ya kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu Bara Januari 17, kikiwa huko Dubai kitacheza michezo miwili ya kirafiki dhidi ya timu kubwa kutokea maeneo...

  8. Mbrazili Simba aanza na straika, kiungo fundi

    KOCHA wa Simba, Mbrazil Roberto Oliveira 'Robertinho' ameweka bayana kwamba alichokiona Zanzibar kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi na kupitia mafaili ya wachezaji wengine wa kikosi cha...

  9. Akpan, Okwa wakwama Dar, wataja sababu

    KIKOSI cha Simba kinaendelea na mazoezi jijini Dubai kwenye kambi ya wiki moja ya kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara, Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho (ASFC), huku nyota wake...

  10. Robertinho: Yanga kitu gani buana! aitaka hata leo....

    KIKOSI cha Simba jana kimeanza mazoezi Dubai kwa ajili ya kambi ya wiki moja kujiandaa na mechi za Ligi Kuu Bara na ile ya kimataifa, huku kocha mkuu mpya, Roberto Oliveira 'Robertinho' akisema...

Previous

Page 3 of 89

Next