Hello

Your subscription is almost coming to an end. Don’t miss out on the great content on Nation.Africa

Ready to continue your informative journey with us?

Hello

Your premium access has ended, but the best of Nation.Africa is still within reach. Renew now to unlock exclusive stories and in-depth features.

Reclaim your full access. Click below to renew.

Search

82 results for Faki Faki :

  1. HADITHI HADITHI: Bomu Mkononi - 17

    Nilimtaka mlinzi huyo kwa akili yangu kwani nilishapanga kuhamia nyumbani kwa Mustafa pindi mume wangu awapo safarini, hivyo nilitaka nyumba yetu iwe inalindwa usiku ili wezi wasije wakatuibia.

  2. HADITHI HADITHI: Bomu Mkononi - 19

    Baada ya kulisimamisha gari, tuliingia ndani. Nilimuona mama yake. Alikuwa amekaa sebuleni. Alikuwa mwanamke mnene na mfupi. Nilimkadiria umri wake kuwa ulishafikia miaka themanini. Alikuwa...

  3. Bomu mkononi - Sehemu ya 18

    ILIISHIA HAPA... “Tuna utaratibu wa kubadilishwa mara kwa mara lakini itakapokuwa hivyo nitakujulisha,” mlinzi huyo akaniambia. “Hakuna tatizo,” nikamjibu. Kutoka siku ile nyumba yetu ikawa na...

  4. HADITHI: Bomu Mkononi - 14

    Mishi, mtoto mkali cheupe wa Kitanga, ambaye ukimwona unaweza kudhani ni Mwarabu, ameolewa na dereva wa malori, Musa, lakini kwa tamaa anaanza kukolea kwa mfanyabiashara mwenye Range Rover, Mustafa.

  5. HADITHI: Bomu Mkononi - 13

    Mishi, binti mrembo wa Kitanga ndoa yake na dereva wa malori, Musa ndio kwanza changa. Lakini anachanganyikiwa baada ya kupewa lifti kwenye Range Rover ya kijana mfanyabiashara, Mustafa ambaye...

  6. HADITHI: Bomu Mkononi - 12

    Mishi, binti mrembo wa Kitanga ndio kwanza ametoka kuolewa na dereva wa malori, Musa, ambaye amekuwa akimpa zawadi nyingi hadi zikamvuruga akakolea na kuolewa. Lifti aliyopewa katika Range Rover...

  7. HADITHI: Bomu Mkononi - 11

    Mishi, binti mrembo wa Kitanga, ndio kwanza amefunga ndoa na dereva wa malori, Musa, ambaye amekuwa akimpa zawadi mbalimbali zilizomchanganya hadi akakolea. Ghafla anamuona shosti wake, Amina...

  8. HADITHI: Bomu Mkononi - 10

    Mishi baada ya kukolea kwa dereva wa malori, Musa wanafunga ndoa. Leo ni siku ya ndoa...

  9. HADITHI: Bomu Mkononi - 8

    Mishi, binti mrembo wa Kitanga, anakolea kwa kijana dereva wa malori, Musa, ambaye amefika bei anataka kumuoa. Hapa Mishi yuko kwa kungwi anaendelea kufundwa.

  10. HADITHI: Bomu Mkononi - 7

    Mishi, binti mrembo wa Kitanga, anakolea kwa kijana dereva wa malori, Musa, ambaye amefika bei anataka kumuoa. Hapa Mishi yuko kwa kungwi.

Previous

Page 3 of 9

Next